Wanawake wa JF!!

Wanawake wa JF!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Huwa nashawishika kusema wanawake wa JF huko mnakoishi ni mabingwa kwani maskil mnayopata humu yanawasaidia ku run life kwani uhisi hamuwezi kudanganywa na mtu yeyote yule kuhusu swala la mahusiano!! Nazaidi kutokana na maujanja mnayopata humu mnajua shughuli si kitoto!!Hilo mimi ninalitambua!!Ila niuwezo sina ningetamani niwaoe wote niwe kama King Mswatti!Emungu bariki!!
 
hujawahi sikia mganga hajigangi??...
ukute tumejazana magogo tu humu:happy:
 
yaani wewe na wanawake wa jf.......
ni thread mpya kila siku......
 
Ha ha ha KK bana hata mie nakupenda ujue toka umebadilisha msimamo
 
nahisi huyu KK atakuwa mtu wa aibu sana mbele ya wanawake,halafu pia ni domo zege ndio maana frustrations zake za kurusha ndoana anazitolea humu JF :happy::happy:
 
Mapenzi hayana mwalimu the more unapata mafunzo na mifano bado katika hali halisi unaona kama haikuhusu wewe mpaka likukute ndio utakumbuka kusema nilisikia mahala. kwa hiyo hata usome thread ngapi kama bado halijakukuta huwezi jua kabisa
 
Huwa nashawishika kusema wanawake wa JF huko mnakoishi ni mabingwa kwani maskil mnayopata humu yanawasaidia ku run life kwani uhisi hamuwezi kudanganywa na mtu yeyote yule kuhusu swala la mahusiano!! Nazaidi kutokana na maujanja mnayopata humu mnajua shughuli si kitoto!!Hilo mimi ninalitambua!!Ila niuwezo sina ningetamani niwaoe wote niwe kama King Mswatti!Emungu bariki!!



KK utanisamehe.... nimeona hapo tu kwenye red, nimeanza maombi rasmi uweze fanikiwa huo uwezo......
 
KK kwa mabinti.,,,kama kipara kwa shaolin..!!
 
Huwa nashawishika kusema wanawake wa JF huko mnakoishi ni mabingwa kwani maskil mnayopata humu yanawasaidia ku run life kwani uhisi hamuwezi kudanganywa na mtu yeyote yule kuhusu swala la mahusiano!! Nazaidi kutokana na maujanja mnayopata humu mnajua shughuli si kitoto!!Hilo mimi ninalitambua!!Ila niuwezo sina ningetamani niwaoe wote niwe kama King Mswatti!Emungu bariki!!
Hee? uko unakoelekea hataaaaa, yan mfano wa mswati umenitoa kijasho.
 
Haya wenye uhitaji KK huyo leo kaweka mambo hadharani.....
 
Back
Top Bottom