Wanawake wa kahama

Wanawake wa kahama

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,472
huku wamejaa wasukuma na wengine toka kigoma etc. nimeishi hapa kwa miezi miwili sana, huwezi amini, kila mwanamke ninayekutana naye mara ya kwanza na kumtongoza, anakubali. siku ya kwanza, nilimkuta mmoja kazini kwake, nikamwomba anipe tunda akakubali. ya pili nimekaa zangu naenda dukani nikamtongoza wa dukani akakubali, nimetongoza karibia wanawake kumi, wote wanakubali. nimelala na mmoja tu, wengine nilikuwa nawaahidi kuwadooo afu nalala mbele. uyo naye alikuwa mzuri sana, huwezi amini alikubali kwenda kupima tukapima kwanza ndo tukadooo. SWALI; HIVI WANAWAKE WA HUKU HUWA HAWAKATAI? AU IMENITOKEA MIMI TU......
 
Si unajua mademu wa kahama weng wao njaa nyingi,,'weng wametoka pand mbali mbali il wasake maisha hapo unajua nn tafuta ambao amewashnda wengne alaf umtokee si shda yako kukataliwa
 
Kama umethubutu kutongoza wanawake wooote hao na huna nia nao nina mashaka na jinsia yako. Yawezekana walikukubali kwa kukuona shoga yao.

Na huo uongo wa kupima ndio ukaduu ni wa kitoto. Sasa kwa taarifa yako, window period ni 3months
 
duh wewe mpaka unatongoza...!! wengine pande hizo ni chap chap kwa kwenda mbele...

Si unajua tena....

mapenzi ya kugandana ni ya zama za kale..,siku nzima kudanganyana ishakuwa poa poa tu..., karibu chama la bachala, ukinipenda tunamaliza leo leo tu.....:heh:

I think you get my drift (au unataka muanze kusumbuana mwezi mzima kama vile unatafuta ndoa)
 
Mleta mada umetoka wapi, Kahama ni very expensive place to visit in Tz,we umekwenda kufuata wanawake, wenzako wanakwenda kufuata pesa, du watu wengine bwana, Kahama ni moja ya wilaya zenye watu wenye uwezo mkubwa kipesa, acha ushamba wa wanawake hapa, na ntaomba ufungiwe JF
 
Unaenda kwenye machimbo afu hujafanya hata feasibility study, hovyooo!

Waj.ing.a ndo waliwao, ngoja wakupeleke Kakola utaisoma namba.

Utarudishwa kwenu kwenye mfuko wa rambo!
 
Dogo Kahama watu wanapeleka pesa benk kwa mifuko ya rambo, we unapeleka kwa wanawake vi shilingi vyako?
 
Wanawake wa Kahama ni kweli haya yaliyosemwa au kaamua kudhalilisha?
 
mi nimesikia wanawake wa huko wakisikia umetoka Dar ndo wanakuwa hivyo
sio kwa kila mtu..only kwa wanaotoka Dar
but sijui ukweli wake
 
Kama umethubutu kutongoza wanawake wooote hao na huna nia nao nina mashaka na jinsia yako. Yawezekana walikukubali kwa kukuona shoga yao.

Na huo uongo wa kupima ndio ukaduu ni wa kitoto. Sasa kwa taarifa yako, window period ni 3months
ACTUALLY kwa kukusaidia, ni kwamba mara nyingi huwa nafanya biashara za madini, nilikuja hapa kahama/Kakola kutokea Geita na Nzega. home ni dsm. nimeondoka dsm nina miezi kama sita hivi, nisingeweza kukaa vila mwanamke, ndio maana nikatafuta mademu. nilichokuwa nasema ni kwamba, mikoa mingine nilikokuwa napita wanawake si warahisi hivyo, lakini hapa amini usiamin, ukitia ndoana tu unavua samaki. kilichokuwa kinanifanya niwaache wengine ni kwamba, huu ni mji wa madini, kuna watu wana pesa sana, na ngono zipo nyingi sana, kwa wale wanaoijua kahama, jioni ukienda pale Rocky hill hotel, utaona namna machangu walivyo wengi....wanawake karibia wote hapa hata wasio machangu nafikiri wakiona mtu anaonekana kama mgeni au anazo, wanafikiri wananufaika awape pesa, kwasababu watu wa madini wamezoea kutapanya pesa kwa namna hiyo....sasa wewe mwenzangu, unasema labda nitakuwa shoga, shoga anatongoza wanawake, hahaha. acha mambo ya ajabu bwana.

kwenu nyie wanawake, ukitongozwa na mwanamme ukakubali bila kipingamizi, anaweza kukukimbia, mbona bila upinzani? au una ngoma? mbona mrahisi kihivyo?, pia kwako wewe unayesema sikupima, nilipima, na kadada hako nakaa nako hapa hotelini hata sasaivi kametoka nje tu, ila tulipima, na bado natumia kondom pamoja na kwamba nimepima....upo?
 
mi nimesikia wanawake wa huko wakisikia umetoka Dar ndo wanakuwa hivyo
sio kwa kila mtu..only kwa wanaotoka Dar
but sijui ukweli wake

Kwa mikoa mingine si Arusha au Mwanza au Mbeya Town,labda naminywili au tandahimba au mwanambaya huko sitimbi.
 
kakutana na wakimbiza mwenge walioko Kahama.
Wanahudumia migodi na miji kama Kahama, kakola, nzega, geita, Buckreef, na Tarime.

Wakikosa wanaenda hata kwa kwenye 'maduku'

Wanawake wa Kahama ni kweli haya yaliyosemwa au kaamua kudhalilisha?
 
we unatongoza machangu halafu unajisifu, machangu hata ukitongoza 100 hamna atakaye kataa wala kusema nipe muda nikajifikirie, we mwanamke unakaa nae hoteli ujue changu huyo mstaarabu angekumbuka kurudi nyumbani.
nenda kajipange
 
Back
Top Bottom