ACTUALLY kwa kukusaidia, ni kwamba mara nyingi huwa nafanya biashara za madini, nilikuja hapa kahama/Kakola kutokea Geita na Nzega. home ni dsm. nimeondoka dsm nina miezi kama sita hivi, nisingeweza kukaa vila mwanamke, ndio maana nikatafuta mademu. nilichokuwa nasema ni kwamba, mikoa mingine nilikokuwa napita wanawake si warahisi hivyo, lakini hapa amini usiamin, ukitia ndoana tu unavua samaki. kilichokuwa kinanifanya niwaache wengine ni kwamba, huu ni mji wa madini, kuna watu wana pesa sana, na ngono zipo nyingi sana, kwa wale wanaoijua kahama, jioni ukienda pale Rocky hill hotel, utaona namna machangu walivyo wengi....wanawake karibia wote hapa hata wasio machangu nafikiri wakiona mtu anaonekana kama mgeni au anazo, wanafikiri wananufaika awape pesa, kwasababu watu wa madini wamezoea kutapanya pesa kwa namna hiyo....sasa wewe mwenzangu, unasema labda nitakuwa shoga, shoga anatongoza wanawake, hahaha. acha mambo ya ajabu bwana.
kwenu nyie wanawake, ukitongozwa na mwanamme ukakubali bila kipingamizi, anaweza kukukimbia, mbona bila upinzani? au una ngoma? mbona mrahisi kihivyo?, pia kwako wewe unayesema sikupima, nilipima, na kadada hako nakaa nako hapa hotelini hata sasaivi kametoka nje tu, ila tulipima, na bado natumia kondom pamoja na kwamba nimepima....upo?