Wanawake wa kiafrika mnakoelekea siko. Hata wazungu hawavai hivi.

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,669
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu.

Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni utandawazi. Kuwa wanaiga wazungu. Lakini huu uvaaji hata wazungu mmewazidi



Mjirekebishe basi,khaaaa. Wengne tunashindwa hata kupeleka watoto zetu sehem za starehe kwa hofu ya kukutana mimtu mizima ipo uchi.
 
we hujaenda us huko kuna club party wachumba wamechorwa tu km bikini wear hivi ila wako uchi mtupu.hakuna chupi wala bra,mida mibovu mkielewana ni chemba tu kitu na boxi
 
Hao wamevaa mitumba toka kwawazungu
 
Si wote wako hivi; hawa ni wajasilia mali, wako kazini/mawindoni.
 
Huu ni msiba kwa kizazi hiki cha ki Freemason mkuu...!!!
 
Kuna wengine naona sikuhizi wanapaka tu rangi zile sehemu husika, rangi inafanana na nguo.
 
Sasa kaka bidhaa uzifunikefunike nani atazijua
 
Yaani hawa dada zetu wanasubiri ruhusa ya Serikali tu kutembea uchi tuanze kuona papuchi za wakubwa bure
 
Hivi kwani zamani mlikuwa mnavaa nguo?

Kuna jamii za kiafrika bado zinaficha mbele tu lakini mwili wote uko wazi.

Acheni unafki, kujifanya mnapinga huku wakivaa hivyo ndio wa kwanza kuwaangalia na kuwapigia miluzi.
Bila shaka hata wewe hujazikuta hizo zama za kutembea uchi.
Umezaliwa na kukua ktk jamii inayovaa nguo, hivyo ukizirudisha zama za kutembea uchi wakati huu lazima tukushangae na isitoshe hizo jamii unazozisema kuwa wanatembea uchi wengine hatujawahi kuziona zaidi ya kuzisikia na kuona picha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…