Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mbona huyo kavaa vizuri tu.
Wewe utakuwa unasumbuliwa na age.
Na hapo inategemea picha kaipiga akiwa wapi.
Wewe utakuwa unasumbuliwa na age.
Na hapo inategemea picha kaipiga akiwa wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu gani?Utakuwa na pepo la kujiuza(Dada poa)
Huyu Dada, alikuwa anararamika mtandaoni kwamba, sasa ivi wanaume wanakataa kuoaJamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu.
Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni utandawazi. Kuwa wanaiga wazungu. Lakini huu uvaaji hata wazungu mmewazidi
![]()
Mjirekebishe basi,khaaaa. Wengne tunashindwa hata kupeleka watoto zetu sehem za starehe kwa hofu ya kukutana mimtu mizima ipo uchi.
Mjini ni hatari kwelView attachment 465929 Ni majanga hukoooooo mijini huko ........ sie huku usokweni wala hatuna presha
Sasa mtoa mada kaitoa wapi kama aliipiga ndani kwake akatulia nayo?Cyber crime inakuhusu, huyo binti amepiga picha ndani ya nyumba yake privately.., unless aliipost publicly sawa.., otherwise tutakushughulikia
Buza kwa LulengeUS pande zipi mkuu
tuko wote nilidhani miguu bandiaHivi amepinda miguu?
Bas nimeelewa na kwanini kaamua kujianikaHuyu Dada, alikuwa anararamika mtandaoni kwamba, sasa ivi wanaume wanakataa kuoa
Wewe umeenda au unaleta story za movies kama sio za kuadithiwawe hujaenda us huko kuna club party wachumba wamechorwa tu km bikini wear hivi ila wako uchi mtupu.hakuna chupi wala bra,mida mibovu mkielewana ni chemba tu kitu na boxi
View attachment 465929 Ni majanga hukoooooo mijini huko ........ sie huku usokweni wala hatuna presha
Hahahaha duh! Nimecheka kama mazuri! Huyu kaka hapo nyuma dizaini anatamani akamfunike huh!View attachment 465929 Ni majanga hukoooooo mijini huko ........ sie huku usokweni wala hatuna presha