Wanawake wa kiafrika mnakoelekea siko. Hata wazungu hawavai hivi.

Mbona huyo kavaa vizuri tu.
Wewe utakuwa unasumbuliwa na age.

Na hapo inategemea picha kaipiga akiwa wapi.
 
Huyu Dada, alikuwa anararamika mtandaoni kwamba, sasa ivi wanaume wanakataa kuoa
 
Cyber crime inakuhusu, huyo binti amepiga picha ndani ya nyumba yake privately.., unless aliipost publicly sawa.., otherwise tutakushughulikia
 
we hujaenda us huko kuna club party wachumba wamechorwa tu km bikini wear hivi ila wako uchi mtupu.hakuna chupi wala bra,mida mibovu mkielewana ni chemba tu kitu na boxi
Wewe umeenda au unaleta story za movies kama sio za kuadithiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…