Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

Hii siyo kazi Mkuu huku ni kudhalilishwa utu wao kunakofanywa na hawa wahuni wa Kinigeria kuwatumia hawa kupata pesa kwa njia haramu.
India noma, heri Uarabuni mara mia, lakini kazi ni kazi, wafanyeje?

East or West, Home is the Best!
 
Hii siyo kazi Mkuu huku ni kudhalilishwa utu wao kunakofanywa na hawa wahuni wa Kinigeria kuwatumia hawa kupata pesa kwa njia haramu.
Ndio hivyo, mimi siwezi waamini wa Nigeria hata wawe na deal gani! Wale jamaa ni silent killers, wanaogopwa sana hata middle east, sababu ya uhuni wa hali ya juu.
 
Umeandika point kubwa sana Paula. Kweli hiyo ingewasaidia sana lakini unafika nchi ya watu humjui mtu wala hulijui jiji lenyewe pia labda na language barrier ya kuomba msaada ingekuwa ngumu kupata msaada. Niliwahi kuona clip kama hii pia kuhusu Wakenya waliopelekwa huko huko India.
So sad!
Inaonekana kuchukuliwa passport zao iliwafanya wakubali na masharti waliyopewa ili warudishiwe.
Hivi je wangefuata zile taratibu za mtu aliepoteza passport in a foreign country, isingesaidia?
 
Umeandika point kubwa sana Paula. Kweli hiyo ingewasaidia sana lakini unafika nchi ya watu humjui mtu wala hulijui jiji lenyewe pia labda na language barrier ya kuomba msaada ingekuwa ngumu kupata msaada. Niliwahi kuona clip kama hii pia kuhusu Wakenya waliopelekwa huko huko India.
Yeah pia connection muhimu na labda huna sasa, ndio balaa hapo. Huwezi jifikisha from A to B. Na hata ubahatike ufike embassy, my friend, you'll struggle as if hawakutambui.
 
Kama upi? Hivi Tanzania wapo na Embassy India?
Iko embassy ya Bongo. Kuna wakati waweza wapigia simu, wakakwambia watashughulikia shida yako, basi sivyo utangonjaa. Wadada wengi wanaopitia taabu especially Asian and Arab nations, hizo embassies za huko huwa wamelala sana, tofauti na ukiwa nchi za kizungu.
 
Umeandika point kubwa sana Paula. Kweli hiyo ingewasaidia sana lakini unafika nchi ya watu humjui mtu wala hulijui jiji lenyewe pia labda na language barrier ya kuomba msaada ingekuwa ngumu kupata msaada. Niliwahi kuona clip kama hii pia kuhusu Wakenya waliopelekwa huko huko India.
Inabidi watu wawe wanafundishwa mambo ya msingi kama haya pale wanaporuhusiwa kusafiri nchi nyingine.

Pia inabidi mtu kabla hajasafiri ajue kama nchi anayoenda ina ubalozi wa nchi yake.
Na documents zote alizotumia kuomba pamoja na passport anatakiwa awe na Copy zake au azitunze kwenye email. Hata akinyang'anywa simu anaweza kuzipata. Hii inarahisisha kupata new passport mapema.

Hii itasaidia kama hawafungiwi ndani na kikwazo pekee wanachokutana nacho ni kuchukuliwa hizo passport.
Kutumika kimwili kwa faida za watu wengine inaumiza ni bora nitumike kimwili kwa faida yangu.
 
Iko embassy ya Bongo. Kuna wakati waweza wapigia simu, wakakwambia watashughulikia shida yako, basi sivyo utangonjaa. Wadada wengi wanaopitia taabu especially Asian and Arab nations, hizo embassies za huko huwa wamelala sana, tofauti na ukiwa nchi za kizungu.
Hili ni tatizo. Unateseka na msaada haupati sehemu ambazo ulitakiwa upate msaada.
 
Inabidi watu wawe wanafundishwa mambo ya msingi kama haya pale wanaporuhusiwa kusafiri nchi nyingine.
Pia inabidi mtu kabla hajasafiri ajue kama nchi anayoenda ina ubalozi wa nchi yake.
Na documents zote alizotumia kuomba pamoja na passport anatakiwa awe na Copy zake au azitunze kwenye email. Hata akinyang'anywa simu anaweza kuzipata. Hii inarahisisha kupata new passport mapema.

Hii itasaidia kama hawafungiwi ndani na kikwazo pekee wanachokutana nacho ni kuchukuliwa hizo passport.
Kutumika kimwili kwa faida za watu wengine inaumiza ni bora nitumike kimwili kwa faida yangu.
Pia huwa kuna sheria nchi nyingi unaposafiri na kuenda nje, huko uendako kama kuna embassy yenyu, unafaa kuwajulisha pindi ukikinyaga Airport upande huo, ili wajue wewe ni nani, umekuja kwa mda gani, unaenda kufanya kazi gani na wapi utakapokuwa kazini, contacts za mwajiri wako na docs muhimu za kwako ili iwe rahisi kuku track down incase of any emergency. Sio kuenda tu, unapiga kazi ilhali hujulikani ka uko nchi hiyo. That's not advisable.
 
Fursa india wakati wahindi wenyewe wanakimbia nchi yao kutafuta uchumi nje
 
Pole Sana kwao kwa kadhia hii!
Iwe funzo kwetu na kwa wengine kwamba sio kila inayoitwa fursa Ni kuifuata nyingine huwa wewe unaeifuata fursa hugeuzwa kuwa fursa kwa wengine.

Kama huna professional ya namna yoyote au huna elimu ya kiwango fulani usikubali kupelekwa nje ya nchi yoyote kwa kazi yoyote.
 
wadosi wahuni sana wameiba firigisi za wagonjwa waliokufa kw korona..kule organs harvest ni bonge la dili..
nimeona clip kibao ziko viral huko india jinsi walivyopita na figo za wagonjwa wa korona..
 
Wazo lako ni zuri sana likifanyiwa kazi litawasaidia wengi sana watakaokuwa katika hali kama hii ya kuporwa passports zao au kupoteza.
Inabidi watu wawe wanafundishwa mambo ya msingi kama haya pale wanaporuhusiwa kusafiri nchi nyingine.
Pia inabidi mtu kabla hajasafiri ajue kama nchi anayoenda ina ubalozi wa nchi yake.
Na documents zote alizotumia kuomba pamoja na passport anatakiwa awe na Copy zake au azitunze kwenye email. Hata akinyang'anywa simu anaweza kuzipata. Hii inarahisisha kupata new passport mapema.

Hii itasaidia kama hawafungiwi ndani na kikwazo pekee wanachokutana nacho ni kuchukuliwa hizo passport.
Kutumika kimwili kwa faida za watu wengine inaumiza ni bora nitumike kimwili kwa faida yangu.
 
Back
Top Bottom