Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

Balozi zetu nyingi nchi za nje hazina sifa nzuri. Wao cha kwanza wanakiona kwa Mtanzania anayetaka msaada ni mhalifu au kajitakia mwenyewe na mara nyingi hazina msaada wowote.
Hili ni tatizo. Unateseka na msaada haupati sehemu ambazo ulitakiwa upate msaada.
 
Kama upi? Hivi Tanzania wapo na Embassy India?
Barozi zetu unazisikia au unazijua, ukipata shida uko nje hawanaga msaada kabisa. Utaskia tushawambia msije huku. Yani barozi zetu za ajabu kabisa.

Madada wengi wanaopelekwa India toka Afrika wanaenda kuuzwa, akishahitimu na kurudisha pesa ya aliyempeleka, naye anapata mafasi ya kuwalaghai wengine waje wawe chini yake wajiuze. Hivyo yeye ndiye anakuwa kama boss.

Tena boss wa huo mtandao ndiye alikuwa raisi wa chama cha Waafrika wanaosoma India, ni Mnigeria.
 
Barozi zetu unazisikia au unazijua, ukipata shida uko nje hawanaga msaada kabisa. Utaskia tushawambia msije huku. Yani barozi zetu za ajabu kabisa.

Madada wengi wanaopelekwa India toka Afrika wanaenda kuuzwa, akishahitimu na kurudisha pesa ya aliyempeleka, naye anapata mafasi ya kuwalaghai wengine waje wawe chini yake wajiuze. Hivyo yeye ndiye anakuwa kama boss.

Tena boss wa huo mtandao ndiye alikuwa raisi wa chama cha Waafrika wanaosoma India, ni Mnigeria.
Kumbe wahusika kabisa wanajulikana. Lakini unakuta hawachukuliwi hatua yoyote.

Nilikuwa nafuatilia data za human trafficking nimehizunika, maana sijui kama hii biashara itaenda kufika mwisho.
 
Kumbe wahusika kabisa wanajulikana. Lakini unakuta hawachukuliwi hatua yoyote.

Nilikuwa nafuatilia data za human trafficking nimehizunika, maana sijui kama hii biashara itaenda kufika mwisho.
Kuna NGO ilikuwa inafanya kazi ya kuwarudisha makwao, lakini wanakuwa wamenyanganywa passport, muda wa vinati umeisha wanaogopa kwenda mamlaka watakamatwa na pia wanajikuta hawana njia ya kutoka.
Walienda hadi kuwahoji serikali na Nigeria kuhusu huyo jamaa, majibu waliyopewa ni kwamba wao hawajawahi kupokea malalamiko. Wakati waliwapa hadi ushahidi wa video. Jamaa akikili kabisa.
Human trafficking ni kubwa, hata US kuna madada wanapotea without a trace viashiria vyote vinaonyesha wamekuwa abducted na traffickers.
Pia Thailand ni balaa. Kuna jamaa yangu kidogo awasafirishe shemeji zake to thailand eti ex wake mnaija alimwambia ana mgahawa maarufu huko anahitaji wafanyakazi akamtumia na dollar 10,000 ya kuwataftia passport na kila kitu waende.
Yani at the last moment kuna mtu akamsanua kuwa wanaenda kuuzwa.
 
Haya maisha ni shida sana, sasa wanafahamuje kama imefika hiyo lakh 2.5,? Sijui kama huwa wanarudia maisha ya kawaida hawa, maana hata kama ni kujiuza ni bora iwe kwa hiyari. Sheria za India zimasababisha mwanamke kuwa kitu adimu hivyo wanaume hununua ngono kwa gjarama kubwa ndiyo maana hii biashara kwao inawalipa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Swali zuri sana kuhusu wanavyofahamu kwamba wameshatimiza hiyo amount ya 250K kwa pesa ya India. Sidhani kama wanaambiwa leo “wateja” wako wamekuingizia kiasi fulani. Ni unyama tu wa hawa Wanaigeria.
Haya maisha ni shida sana, sasa wanafahamuje kama imefika hiyo lakh 2.5,? Sijui kama huwa wanarudia maisha ya kawaida hawa, maana hata kama ni kujiuza ni bora iwe kwa hiyari. Sheria za India zimasababisha mwanamke kuwa kitu adimu hivyo wanaume hununua ngono kwa gjarama kubwa ndiyo maana hii biashara kwao inawalipa
 
Back
Top Bottom