Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JOHN KOMBAFredrick Summaye
Benjamin mkapa
John Mongela
Hawa pia wameonja Kilimanjaro!!
Kimahesabu upande wako inakataa.Labda kwa hao wanawake.Nimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
Wachaga wenyewe ni maarufu, eleza vizuri kwa utulivu.1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
Dr. Faustine Ndugulile1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
We sio Boy, ni Mzee!chaga boy hapa miaka 39 ndani kuna manka nje napaki toyota coaster special hire 9 yote ni kua na mwanamke ambaye zinachaji.
chaga ladies forever on top
Alafu ukiishaoa mchaga ukapata hela anakutanguliza RIP1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
Baki na warangi wakoAlafu ukiishaoa mchaga ukapata hela anakutanguliza RIP
7. Jaji Joseph Sinde Warioba yeye kaoa Machame,Kilimanjaro1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
WauajjiWachaga safiii
Nafikri ukifika 51 anza kukaa pembeni.Kuna code hujaijua hapo,ukioa mchaga miaka 60 hutoboi
Jaji Joseph Warioba1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
Kuishi ni bahatiKuna code hujaijua hapo,ukioa mchaga miaka 60 hutoboi
Kaskazini hata wa Iraq 🇮🇶 nao ni Kaskazini mkuu .wajanja tumeoa kaskaziniii....mke wangu anarun shamba langu na tuna ngombe wa maziwa zaidi ya 120..tunavuta mpunga kimya kimya tuu
View attachment 3167418
Kwanza elewa kuwa si kila mwanamke wa kichaga ni mchaga, mengine ni mafurahisha yana miba mikali hayafugiki, kama unabisha kamuulize bm.Nataka nioe mchaga mkuu, ebu nishauri..😑
na hao mda si mrefu watakufa tu1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
MkapaIla moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...😂
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
Kiimani uko sawa ila kidunia hauko sawaKuishi ni bahati