Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
wanapenda kujibust
kujiona wao ndo wao
wanajua kila kitu
wanataka waongoze kwa kila sekta
kujifanya wamjiniiii kumbe mweeeeeeeeeeeee katoka kyela jana

Unaongelea wale wa kule mto Kagera..
 
Nimezaliwa mbeya wako poa tatizo moja kubwa au sifa yao kwa upande mwingine wanajiamini kupita kiasi hata kwa kitu ambacho yuko wrong kabisa pia kama hujasoma kama yeye usijaribu kabisa kumuoa saa yote atakutema, wanapenda kujionyesha sana mwanamke wa kinyaki hata kama wewe una 100,000 yeye ana 10,000 atataka awe juu.
 

mi sijui nimechemka
 
Kutokana na hii thread nimegundua pia wanapenda kulipuka na kukasirika haraka. Humu ndani wanawake na wanaume wa kichagga wanasemwa kila kukicha lakini wala husikii m2 kakasirika wala kurushiana maneno, inawezekana ukweli unauma.
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
halafu wewe una kama na madharau flani na watu wa mby vile,..nimekusoma jana kwenye ile thread ya kibonde ukileta madharau yako,..nilivyotaka kukupa ukweli wako mod waka imovuzisha....acha upuuzi director


Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo
 
wanajua kulia sana,
wanauwezo wa kukaa msibani hata mwaka mzima,
wanauwezo wa kupata mimba huko huko msibani na wakarudi nyumba na mtoto,
ni hodari kubeba watoto mgongoni,
ni hodari kuvalisha watoto nguo za kuwakinga na baridi,
anauwezo wa kwenda mbali na nyumbani kwa ajili ya biashara yake ya ndizi,
atakaporudi nyumbani ni lazima amnunulie mume wake shati na suruali hata kama ya mtumba.
wagumu sana kutoa msaada,
 

Useamayo siyo kweli kabisa nadhani hata kabila lako ni wale niangusage tu sambi sako mwenyewe...... katika wadada wastaarabu Nyakusa wanaongoza ila hawapendi kudharauriwa na kiumbe yeyote so keep distance...... Nambie kabila moja ambalo halina mfumo dume maana mara kumi wanyaki kuliko wachaga
 
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo

director nimekusoma ila kimtindo jinsi ulivyosema inaonekana wazi kuwa unadharau wanyaki au ni vile umezaa nao mmh acha dharau mkuu ni kabila gani ambalo halifanyi mambo hayo mmmh!! Wapi kusikokuwa na hizo gesti bubu acha kabisa dharau!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…