truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 338
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo
Sio wote! Ila wengi HAWAWEZI kukataa. Wao kugawa ni kitu cha kawaida. Kwa yeyote. Si shemeji, binamu, rafiki au yeyote yule!
Nasemea uzoefu.