Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
Mmesema yote kuna moja bado....... hasa linalohusu kitandani!!
 
ni wacha Mungu, wadumisha mila na desturi wazuri

kaka zao ndio shida waluga ila wanajifanya wa mbele sana

Wewe tabu yako unataka kuwa mbeleeee wakati unatakiwa kuwa nyuma, nakuleta za kwenu na dharau hilo halikubaliki hata kidogo labda kwenu tuuu!!
 
Hawa watu ni hard worker sana, mwanamke wa kinyakyusa namlinganisha na mwanaume wa kichaga, ukitaka ku prove, nenda Zambia, malawi. botswana zimbabwe na SA utawakuta huko ndio wafanyabiashara wakubwa. hawapendi biashara za kukaa sehemu moja, kwa hiyo kama una mipango ya kuoa uwe tayari kumruhusu kusafiri na biashara zake.
Kama ni mfanyakazi, kwa kweli wako very firm and you cant twist them, ni wakarimu na wana heshima sana kwa watu wanaowaheshimu.
Kusema hawajui kusema no, naweza kukubali, but binafsi na kwa uzoefu wangu, hakuna hata kabila moja ambalo wanaweza kusema no kwa kizazi hiki.
Mkuu Mayenga, fanya utafiti halafu uje hapa utuambie kama kuna kabila umeomba halafu ukakataliwa, vinginevyo ntakuomba ukaoge na magadi
 

Kwa hili upo sahihi kabisa!
 
Wanyaki hawauzi ndizi alafu tambua kuwa siyo kweli wanaweza kukaa msibani kwa muda mrefu kama huo................... arafu huko kwenu mbona wanaweza kuzaa na wakwe zao mmmh!!

nimacho yangu au! Lugha gani ulikuwa unataka kutumia au kiswahili kigumu!
 
nimezaa nao'hawajui kukataa'kila mwanaume wanamwita shemeji'wanazukwa na guest kibao za bei rahisi'ni wachapa kazi
Watake radhi!! tatizo la mibongo tunajenelolaizi sana mambo hebu angalia namna wanavyosemwa vibaya Wanawake wa kipare na Kimachame lakini mimi nazifahamu "kapo" zenye mke mpare na nyingine Mmachame tabia ni tofauti na wanavyosemwa
 
Sijui wewe ni kabila gani lakini ni wale wale tu tena inawezekana NI MSAFA TU AU MKINGA NDIYO MAANA INA KUUMA SANA LEO UMEAMUA KULIPUKA KWA UONGO MAMA!!!
Naomba nikurekebishe. Kwa mujibu wa Google Search Engine hakuna kabila linaloitwa WASAFA...ni WASAFWA!...right?.
Kwahiyo unataka kusema kuwa makabila hayo yana waongo waliobobea?...unaweza weka evidence?
 
kwan nimekataa wanaume wasiwe kichwa cha nyumba?

unless othwise unambie AUJANIELEWA NIMEMAANISHA NINI JUU YA UDUMELISM...thats wanaume wa kinyakyusa wanapenda sana udumelism..

Sasa we ulitaka wapende ujikelism?
 
haya sasa_na hili nalo litapita!

wadada wako natural, siyo kama wa pwani full complication

ila kaka zao ni kama wasukuma, wako rafu sana na mikoti yao ya suti, wanapenda kuonekana penye watu wengi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…