Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
haya.. nimekuelewa.. sileti mpare kama wapo ivyo..
Wana wowowo na umbo namba 6 na 8 hawana umbo namba 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana wowowo na umbo namba 6 na 8 hawana umbo namba 9
kumbe we pia unawapata....
hawa watu acha tu.
shost me ndio zangu kuruka kila mji kama JK hawa watu nimekaa nao sana na vitabia vyao vyote navijua
ha ha ha weee humfikii huyo, labda kipepeo ndo ajilinganishe nae.
Evelyn Salt na Lady doctor ... mupo sawa kabisaaaa.
ila hatuwawachi maana niwatamu watamu kidogo na ni sehemu usiyo tumia nguvu nyingi sana kujipatia.
hicho ndo ukipendacho, kiulaiiiiniiii unamega.
Inawezekana wa huko ila sababu yako haikutosha kumfanya mtu aonekane wa huko....hahahaha mie MPARE BY NATURE BWANA
kwani, ukiambiwa ukipita njia hii utatumia dk 5
na ukipita hii utatumia dk 20 na wote mnaenda sehemu moja...
utatumia njia gani?
Unafahamu kule kwa wenye wanaoambiwa wana makombere?nilijua tu kipare chako kipo deep sana hata kama ungejifunza ingekuchukua muda mrefu sana.mi kihurio we wapi
Unafahamu kule kwa wenye wanaoambiwa wana makombere?
mi nimekulia mjini
Basi kama umekulia mjini, endelea na mji wako, ila kumbuka lile sanamu la posta ndo limezaliwa na kukulia mjini peke yake....wengine woote mnaiga tu
Karug wewe ndio artificial, don't talk on my behalfWakati wa uchumba wote (wanaume na wanawake) huwa tunakuwa artificial! Oa kwanza kaka ndio ulete uzoefu hapa!
We Passion Lady wewe! Unawasema dada zangu kwa ubaya tu. Haya bana!
hehehee!!kumbe dadazo
pole weeee!!
Karug wewe ndio artificial, don't talk on my behalf
nyau kabisawanapenda kupigwa nje sana....take care...