Wanawake wa kisukuma wana hekima na wapole sana mfano mama Janeth Magufuli

Mama pua yake inanipaga mashaka sana anyway lakini mwisho wa yote mama mstarabu sana
 
siri ya mtungi aijuae kata huwezi kujua chanzo cha ukimya wake.
 
hhahhha nimchka na ya flora mbashaa aic!hahahahhha !ila kuna ukweli! sidhan km ni wanyenykev namna hyo mamila yao ya kiajabu ajabu ya kunynyekeaga vivulana vidg zimtufikisha hapa!nakasirika sana!
Hao wa kunyenyekea wavulana na watu wa kiume kwa ujumla iko mkoa wa Mara. Nenda kwa wajita na wakurya ndio utajionea maajabu.
 
Hao wa kunyenyekea wavulana na watu wa kiume kwa ujumla iko mkoa wa Mara. Nenda kwa wajita na wakurya ndio utajionea maajabu.


mh mwanza ipo sana nikiendaga vitoto vya miaka 20 vinalazimisha uvipigie magoti!kanatokea huko kanakutuma maji ukimletea upige goti had amaliz mie huwa nagoma
 
mh mwanza ipo sana nikiendaga vitoto vya miaka 20 vinalazimisha uvipigie magoti!kanatokea huko kanakutuma maji ukimletea upige goti had amaliz mie huwa nagoma
Mm ni msukuma ila hiyo kwetu haipo. Na wadogo zangu wa kiume wananiheshim sana.
 
Mm ni msukuma ila hiyo kwetu haipo. Na wadogo zangu wa kiume wananiheshim sana.



BAS ni koo na koo!mie had ukweni shemeji analazimisha nimpigie goti!i hate tht! alafu wasukuma wanawadharau sana sana wanawake jaman!hata umkute ana elimu gan anamdharau mnoooo mwanamke!hv huwa ni nn!
 
BAS ni koo na koo!mie had ukweni shemeji analazimisha nimpigie goti!i hate tht! alafu wasukuma wanawadharau sana sana wanawake jaman!hata umkute ana elimu gan anamdharau mnoooo mwanamke!hv huwa ni nn!
Ni mambo ya mfumo dume tu,ila nakwambia ukienda kwa wajita ndio utajuta. Mm kuna shemeji zangu hadi hatuongei kwaajili ya huo upuuzi. Watataka hadi nao uwafulie, wakitoka misele uwapokee loh! Na wakati mi mwenyewe nakuwa nimetoka zangu job nimechoka na yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…