Wanawake wa kisukuma wana hekima na wapole sana mfano mama Janeth Magufuli

Kusema kweli huyo mama namkubali sana! Ila haimaanishi kuwa wanawake wote wa kisukuma wako kama yeye...kuna wengine ni magumegume tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…