Wanawake wa kitanzania hawafai, wacha nitafute another race or culture

Usije ukajidanganya ukioa nje you will be lucky and happy.
Hakuna wanawake much know kama wa nje ya mipaka ya Tanzania.
Pia mbona wenzako tumeoa wasambaa hapo Tanga na tunaishi kwa furaha na mafanikio tele???
 
Ni aidha mtoto ama ana umri mkubwa ila akili za kitoto.
 
i doubt you can hold my game. all my previous exs are models, miss regional, Universities or run ups. my game pretty fine. i made life decision. to settle with one and try be better . ila i gave up . i thank god i didn't marry her or have kids with.
 
Tatizo lako linaanzia hapo unapochanganya kiingereza na kiswahili kawaida ukiona mwanaume anachanganya lugha basi hakuna mtu hapo. Alafu wanawake usiwachukulie maanani sana watakusumbua hata hao wa mataifa mengine bado wana miyeyusho yao. Wapo waliooa wazungu na leo kikowapi, wapo waliotamba na madem wa nje leo kikowapi.

Uwanaume wa kwanza ni kujua kuish na mwanamke kwa akili ww huna akili na huna uwanaume tukiwaita kwenye vikao hamji alafu mkiwashindwa mnalalamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…