TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #21
Kwani waganga sio raia?Hao kwao handeni kila nyumba ina mganga,yani waganga ni wengi kuliko raia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani waganga sio raia?Hao kwao handeni kila nyumba ina mganga,yani waganga ni wengi kuliko raia
Dah hapo kwenye wazaramo 🙌🙌😅Naskia ni Mafundi kitandani.
Tanzania hakuna KABILA lenye ahueni makabila yote yana kasoro ila usije kuoa au kuolewa na Wachagga na jamii za huko yaan wapare wameru kote huko usijaribu...
Wachaga na wameru wana niniNaskia ni Mafundi kitandani.
Tanzania hakuna KABILA lenye ahueni makabila yote yana kasoro ila usije kuoa au kuolewa na Wachagga na jamii za huko yaan wapare wameru kote huko usijaribu...
Wabinafsi na ni wachoyo.Wachaga na wameru wana nini
Kwa maonesho utafikiri wana phd katika hiyo fani 🤣🤣🤣🤣Oa tu ila ni wavivu mpaka akili
Nna shemeji mzigua yeye anapenda ligi na maonesho ni mvivu sijawai kushuhudia.
Japo sio wote
Kuhuwu uganga sina wasiwasi mimi ni mpangwa halisiOwa tu utapata yafuatayo
Wako vizuriii kitandani
Wavivu wanamin vsana katika dhana ya mme kumtunza mke, jiandae kusaidia ukoo mzima, ukizingua pia unaweza kurogwa , ukiskia uchawi Tanga hao ndioo wenyewe, pmj na haya wapi waziri wasio na hizo sifa kwa hiyo fanya homework yako
Sio 4omantic tena😌Wabinafsi na ni wachoyo.
Rejea Miji yao uone jinsi makabila mengine wanavyoishi nao...
😅😅😅,mimk kurogwa siweziKuna jamaaa yang mchaga kaoa mzigua yan kabadilisha dini kawa muislam....na mwana mke yeye kila siku yupo dsm.
Tunafaa zaidi ya sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hawafai
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duhWanapenda wali Kama wapogolo,ukioa kila siku jioni hakikisha Michele haukosekani.mengine sijui
Halafu hawajui kujiongeza.Kwa maonesho utafikiri wana phd katika hiyo fani 🤣🤣🤣🤣
NilipoboldOwa tu utapata yafuatayo
Wako vizuriii kitandani
Wavivu wanamin vsana katika dhana ya mme kumtunza mke, jiandae kusaidia ukoo mzima, ukizingua pia unaweza kurogwa , ukiskia uchawi Tanga hao ndioo wenyewe, pmj na haya wapi waziri wasio na hizo sifa kwa hiyo fanya homework yako
Atakubadilisha kuanzia dini mpaka kabila, utapasahau mpaka uko kwenu Ludewa Mundindi sijui Rugalawa sijui Manda, ndugu zake ndo watakuwa ndugu zakoKuhuwu uganga sina wasiwasi mimi ni mpangwa halisi
Haiji kutokea ndugu,kwetu wote walio wahi kuthubuti wameishia kuwa vichaa tu,hili eina wasiwasi nalo,nipo fiti sanaAtakubadilisha kuanzia dini mpaka kabila, utapasahau mpaka uko kwenu Ludewa Mundindi sijui Rugalawa sijui Manda, ndugu zake ndo watakuwa ndugu zako
Kabila ni utamaduni na utamaduni ni maisha,na mfumo wa maisha ndio unaamua kufeli ama kufaulu kwa taasisi yoyote ile waulize wataalamu wa HR ama ORG managementunaoa mtu au kabila
Self justificationKwa swali hili umeshapoteza sifa ya kupata mke kutoka kabila lolote Tanzania. Jaribu Sudan kusini unaweza kubahatisha.
😅😅😅kwahiyo unaulizia ulizia watu makabila yao ili ugundue nini?