Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

Wabinafsi na ni wachoyo.

Rejea Miji yao uone jinsi makabila mengine wanavyoishi nao.

Kumili Ardhi kwao ujipange

Wapo tyr kujenga kwao na sio huko ulipoamua kuanzisha maisha nae.

Hawaeleweki (Sio romantic at all)
Kweli I see,vp wambulu na wairaki
 
Wazigua nimeishi nao sana yaani ila wanwake wengi wanaolewa sana kwanza wavumilivu ..

Ila Wana tabia ya kupenda kwao kama ndugu zao na kwenda kusalimia ..yaani kuna mmoja aliachika sababu hyo kutwa kwenda kwao ila palikuwa na story maana alikuwa mke mdogo wakasema anaenda kuroga ila bana pale kwake anaondoka jumamosi anarudi j4 mumewe akisafiri tu.

Wazigua kwenda kwao Handeni dk sifuri tu
 
Back
Top Bottom