TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #41
Wote😌😌?Hawafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote😌😌?Hawafai
HapanaWote😌😌?
Mmachame na mmeru weka mbali na watoto.Wachaga na wameru wana nini
Kwaiyo izo mimba mnazowapa mkipata wototo wa kike nao wapewe mimba Kisha wakataliweKataa ndoa kataa kuoa tuwape mimba kwa wingi sana tujenge uchumi kwanza
Wana shida gan mkuu..maana mke wangu ni Mmeru.Mmachame na mmeru weka mbali na watoto.
Wana shida gan mkuu..maana mke wangu ni Mmeru.
Ndioo mkuuNa wewe unapenda michele?
Hapana mkuuWewe mpogoro kama mimi ?
Hebu siku uombe chuma mboga ndio utajua.Wana shida gan mkuu..maana mke wangu ni Mmeru.
Kweli I see,vp wambulu na wairakiWabinafsi na ni wachoyo.
Rejea Miji yao uone jinsi makabila mengine wanavyoishi nao.
Kumili Ardhi kwao ujipange
Wapo tyr kujenga kwao na sio huko ulipoamua kuanzisha maisha nae.
Hawaeleweki (Sio romantic at all)
BioData ni muhimuunaoa mtu au kabila
Ni Mmeru!! vungua machoWana shida gan mkuu..maana mke wangu ni Mmeru.
Hahaa[emoji23][emoji23] dahWanapenda wali Kama wapogolo,ukioa kila siku jioni hakikisha Michele haukosekani.mengine sijui
😅😅😅Wanapenda sana kuzaa jiandae kulea ukizubaa watoto watapishana Mwaka 1, suala la kamati ya Ufundi wapo vizuri hawaamini mapenzi bila ndumba.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app