Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Mie huwa nachoshwa tu na namna kilio kinavyokatika. Yaani ghafla unakuta watu wanacheka
Sent using Jamii Forums mobile app
wengine wanajilaza chini kabisa,noma sanaHhaahahaha! Na wana koo haswa!wanatembelea magoti kufika msibani.muda huo analia balaa😅😅!
wajinga tu ndio wataenda kukodiKuna jamaa namjua alikuwa na watu wake special wa kulia kwenye msiba
We ukiwa na msiba unaenda kuwakodi kwake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
iKama wamama wa kijaluo, wanakuja msibani wako poa kabisa story kibao njiani. Wakikarlibia msibani wanakubaliana nani alianzishe, akianza mmoja kincchofuata ni kilio cha mwaka ukiwa mgeni utabaki na butwaa. Baada ya muda wakifika wananyamaza, stori zinaendelea na misosi ya kufa mtu plus muziki wa nguvu na pombe.
Yaani kweli kabisa mkuu, kitambo msiba unakaa hata wiki 2 hadi 4 wanasubiri ndugu wote wa marehemu wafike. Muda wote huo ni pombe, msosi na muziki. Wakisikia wageni wameanzisha kilio huko nje wanapokelewa kwa kilio na wenyeji ghafla wanamute na stori zinaendelea. Umenikumbusha mbali mkuu.eti wanakubaliana nani alianzishe😂😂😂😂