Aaa ulikosea ungeenda na kitunguu au pilipili mpaka vikams vingekushuka au ungevuta hisia za babu mzaa babu yako,,[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinikumbushe kuna siku tumelia weeh afu akatokea mmama mmoja eti "ila wanyakyusa tunalia jamani; laiti machozi yetu yangekuwa yanafufua" ni tuliangua kicheko
Hiyo ya kulia huku unaongea inanikumbusha bibi yangu: (hadi machozi yamenitoka mweeh). Naweza nikajikaza kwa wote ila sio nikimwona bibi analia
Vipi kwenye kuaga mgeni kama anakwenda mbali unaweza kucheka nakuaga tangu siku mbili kabla anakusindikiza anakuaga mpaka ndani ya gari tena anasimama nje anakuaga mpaka gari inaanza kuondoka anawataja wote huko unakokwenda kama unakuja dar hata viongozi anakutajia msalimie magufuli,mchungaji mwambosa ,masanja mkandamizaji,poul makonda hadi raha kama sio karaha mbeya nyoooookoo nawakubali
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kuimba mkuu
Inabidi ukienda huko ukajifunze baadhi ya abc[emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea una sh ngapi....kuna kilio kikavu na kingine cha machozi ya kufa mtuKuna jamaa namjua alikuwa na watu wake special wa kulia kwenye msiba
We ukiwa na msiba unaenda kuwakodi kwake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Machozi hayawezi kugoma maana unaweza usiwe unalia cos of msiba ila simpathy inakujia kutokana na namna wanavyolia,involuntarily unajikuta nawewe unalia bila kupendaMkuu machozi yakigoma yamegoma[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni ukarimu jamani msihoji sanaKwenye kusindikiza utashangaa anasafiri mmoja wasindikizaji sita[emoji23][emoji23]
Hahaha anaongeza fuel.hao cha mtoto..nenda kwa wamama wa kikurya utatamani ucheke.. mtu analia wee baadae anaomba maji ya kunywa akimaliza anaendelea kulia.
kilio kikavu yani bila machozi?πInategemea una sh ngapi....kuna kilio kikavu na kingine cha machozi ya kufa mtu
π πTatizo ubishi tu af uwe usiwe unaniuzia kesi siku ingine πππ
Ukorofi nishakukataza ila ubishi tu. Nitafanyaje sasa na ndivyo ulivyo [emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23]
Sasa mdogo wangu nisipokuuzia wewe nitamuuzia nani?? Hii ni yako tu huna kimbilio.!
Hii nilikua sifahamu aseeIkifika usiku wa giza nene. Yoyote utakayemgusa twende kazi. Ila Mbeya usije ukaleta mapenzi ya ambaruti ya tigo kwa mwanamke og wa Mbeya. Ukijifanya imeteleza ikaingia kutigo ujue ndio mwisho wa mapenzi na mwanamke wa Mbeya. Kwingine huku chezea tani yako
Duuh,uzuri wa Mbeya Iringa wanawake wake sio wachoyo kabisaaIkifika usiku wa giza nene. Yoyote utakayemgusa twende kazi. Ila Mbeya usije ukaleta mapenzi ya ambaruti ya tigo kwa mwanamke og wa Mbeya. Ukijifanya imeteleza ikaingia kutigo ujue ndio mwisho wa mapenzi na mwanamke wa Mbeya. Kwingine huku chezea tani yako