GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo Kazi ipo hapa, ila ukiona GENTAMYCINE kaja na Jambo hapa jua kwa 101% liko kweli na nimeshalifanyia sana Utafiti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mkuu kwa Kunielewa na ukiona GENTAMYCINE nasema Jambo jua nimeshajihakikishia pakubwa na pasi na shaka.Mimi ni mkerewe lakin kigoma niliwaelewa sana
yaan niliona jamaa wanawaacha wanawake wao huko kigoma wanaenda mikoa mingine kutafuta na wanawakuta wake zao wapo na hawana mimba,wengine walikuwa wanaenda chuo tayar wakiwa wameoa na wake zao wakawa sometimes wanawatumia pesa za matumiz japo kigodo
Na ndo mikoa ya kichawi hiyo. Hapo kakosekana kigoma na Tanga TULeo Kazi ipo hapa, ila ukiona GENTAMYCINE kaja na Jambo hapa jua kwa 101% liko kweli na nimeshalifanyia sana Utafiti.
Umenena ukweli kabisa mkuu last week kuna dogo ni Bodaboda, std 7 na ni mlinzi akaoa Mwanamke kutoka Kigoma graduate na anafanya kazi Bank. Mwanamke ana heshima kama zote kwa dogoLeo Kazi ipo hapa, ila ukiona GENTAMYCINE kaja na Jambo hapa jua kwa 101% liko kweli na nimeshalifanyia sana Utafiti.
1. Kigoma ni uchawiLeo Kazi ipo hapa, ila ukiona GENTAMYCINE kaja na Jambo hapa jua kwa 101% liko kweli na nimeshalifanyia sana Utafiti.
Uchawi nini ?.mkoa gani hakuna uchawi?1. Kigoma ni uchawi
2.mpanda na rukwa ni uchawi
3.ukerewe ni uchawi + shemeji kupiga mke wa brother ni kitu cha kawaida.
4. mwanza, ni wife material ila unatakiwa kumpeleka church aokoke na ajue mwanadamu anaweza kuishi bila mitishamba, na pia hakuna mwanamke wa kisukuma unaweza kumtongoza akakataa. in my experience.
mikoa yote kuna uchawi, na kuna wachawi. ila kuna mingine imezidi. Ukala, sumbawanga/Mpanda, Tanga, Tunduru n.k.Uchawi nini ?.mkoa gani hakuna uchawi?
USSR
Hujakutana na pasua kichwa wewe, sitaki hata kuwasikia hao watu hua wanaelewana wenyewe kwa wenyewe km wachaga na wapareMuha Ana uvumilivu Kama roho ya paka hao wengine Sina uhakika
Kuna mkoa nipo huku kuna maeneo wanalalamika uchawi balaa yaan walimu waliopangwa hayo maeneo kutwa kulalamika uchawi wa maeneo husikamikoa yote kuna uchawi, na kuna wachawi. ila kuna mingine imezidi. Ukala, sumbawanga/Mpanda, Tanga, Tunduru n.k.