Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
sasa mrembo..Wanaume wao ndio wana matatizo.
Trust me...watatekeleza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mrembo..Wanaume wao ndio wana matatizo.
Trust me...watatekeleza!
Hehe makagaree ni sheng ya Nyeri?Nyeri Women ni wrong number... wakisema wamesema la sivyo watapita na makagaree
Nambie...sasa mrembo..
Hii ilinipita! Alisema waonyeshe chupi zao wapi na kwanini?Hehehe pumbavu zao
Natumai mke wangu hatasoma huu ujinga, na atajuaje nimempigia nani kura
Siasa zetu halafu ipo Odinga naye kaja na kauli eti wanawake waonyeshe chupi zao. Hehehe sasa naye Uhuru anataka kutumia wake zetu kutafuta kura.
Mara ndo nini kwa kiswahili?.Mkitubania tutaenda kwenye pale kisili ambapo unyumba wauzwa pale shilingi 300 tu....pia wanakupa na mara