They said I was fine, they wanted me to date them and just party, but they were not interested in settling down, get married and become wives
<br />They said I was fine, they wanted me to date them and just party, but they were not interested in settling down, get married and become wives
Hapo kwenye red labda ni kweli
siku moja nilijishusha hadhi nimekuja na bajaj demu akaingia mitinimkuu maelezo yako inaonesha ni kweli unaingia kama buzi so unawakimbiza
next time fanya hivi...
tafuta baa ya kawaida sio aghali
akija mwache aagize chochote kile hata soda au maji,usiagize wine
usafiri mpe lift au muache tu arudi na usafiri wake aliokuja nao
basi au kibajaj,poa tu
usimpe pesa,usiulize kuhusu weekend wapi,au kuhusu sex
zungumza story za kawaida tu,uone
siku moja nilijishusha hadhi nimekuja na bajaj demu akaingia mitini
<br />They said I was fine, they wanted me to date them and just party, but they were not interested in settling down, get married and become wives
Kwa vile hadithi hii ni ya upande mmoja nitajizuia kuhitimisha.
au unakimbilia kwenye ndoa tafuta rafiki kwanza akishakufeel ni rahisi kukubali cause hatopenda kukupoteza.ila hata wanaume hawako real vilevile.They said I was fine, they wanted me to date them and just party, but they were not interested in settling down, get married and become wives
The Boss, wife material ni mtu na heshima zake ambaye yuko tayaru ku-settle na sio mpiga maisha, kuna baadhi nimeshaenda nao taratibu kama unavyosema huku nilikuwa na matumaini kuwa labda baada ya muda taratibu atabadilika na kuwa wife material, matokeo yake boooom! unashttukia miaka 2 imetimia na hakuna dalili za yeye kubadilika. Unamwaga sera wazi jibu unapewa kuwa oooh sijui siko tayari kwa kuwa mke. Nimekuwa naamua kuanza upya kwingine. Mwisho ndio nikaona ngoja niingie mtandaoni tena ndio hayo naishia kukutana na waongo
<br />
<br />
Do the women u dated think 'uko fine'? Pass them a questionairre! Or rather kama una best girlfrien (sio lover) mwambie akupe strength na
weakness zako!
Mimi ni kijana mtanashati, urefu wangu ni 6'2, na niko physically in a very good shape sio mnene wala sijakondeana sababu ya gym na kuzingatia nini ninakula
siku moja nilijishusha hadhi nimekuja na bajaj demu akaingia mitini
<br />Siko hapa kuwakebehi wanawake ama dada zetu lakini hii habari ni ya ukweli na iko-based na my own personal experience huko ughaibuni na kwa sasa hapa Dar. Nimejaribu mara kadhaa kutafuta rafiki kwaajili ya dating then kama chemistry ipo na tuna-click basi sitosita kuendelea kumpenda ambaye tutapatana ili eventually tufunge ndoa na nitulizane na mwenza wangu ili tuendelea na safari ya maisha.<br />
Baada ya kuwasaka akina dada wa mitaani/makazini/makanisani na miskitini etc. bila mafanikio nikaona sasa nihamie online dating, ambako nimekutana na wanawake wa aina mbalimbali lakini tatizo wanawake wengi wa mtandaoni sio wakweli. <br />
Utakuta mtu kaweka kwenye profile picha yake nzuri anapendeza na anavutia. Lakini tukikubaliana tuonane nakuwa nabaki mdomo wazi. <br />
1. Unakuta kwanza hiyo picha kumbe ni ya zamani alipokuwa bado umri haujaenda na akitokea unakuta umri umekwenda<br />
2. Mdada ni mnene zaidi transforma wakati alisema kwenye profile yake kuwa maumbile yake ni slim/average. <br />
3. Anadai ktk profile yake kuwa ni mrefu kumbe ni mfupi. n.k.<br />
<br />
Nimeshakutana na wadada 13 (8 ughaibuni 7 hapa hapa Dar) na mara zote nimepoteza muda wangu na pesa zangu kwaajili ya hizi dates na kuambulia kulipia gharama za dinner, wine, taxi etc at expensive restaurants. <br />
Swali: <br />
1.Je wanawake wanaotafuta wapenzi online ni wale ambao hawavutii kimaumbile na wako desperate?<br />
2. Kwa nini akina dada hawako wakweli ktk online profiles zao? mnaweka picha za zamani, mnadai wembamba kumbe wanene?
dada nimeshasema huko nyuma I'm not too picky. Kwenye real world nimeshatafuta sanaaa ndi hivyo naishia kukutana na party animals!!I think uko too selective or you've serious problems mkuu, yani in real word hujaona..ukajaribu online dating wapii!!..try heaven🙂)) ha ha ha
sijajisifia ila nimejibu swali la wasifu wangu kama ambavyo jamaa ameniulizaHiki ndicho kinachokuponza mkaka. Ujue siku zote wanawake hatupendi mwanaume wa kujishebedua na kujisifia na kujiona yeye ni mzuri. Keep them for yourself. Mapenzi ni innermost feeling ambazo huwa zinajengwa kwa muuda sana pengine hutokana na mazoea na urafiki. sasa wewe kama unajiona mzuri na unatafuta mzuri mwenzio, ndo hapo unaposhindwa kuona kwa macho ya kawaida ukatumia hadithi za Cinderella kumtafuta mwenza.
Acha kujisifia unapotafuta mwenza, acha kujishebedua na hii imekuwa tabia ya wakaka wengi wa .com, hapo ndipo utampata wa kufa na kuzikana naye.
Pesa sio tatizo, mimi nasaka penzi la ukweli. Nasikitikia muda wangu tu unavyopotezwawewe ndo muongo na wala you are not husband material. Ukisikia mwanaume analalamika 'sijui ooh nimetumia pesa nyingi na muda mwingi, sijui ktk expensive restraunts' ujue huyo si mwoaji. So brother ujue kuwa hao wanawake unaowaita wa mitandaoni, ndo hao hao wako kwenye real world. Au unamaanisha kuwa wanawake wa mitandaoni wanaishi katika dunia ya kusadikika?
Na inaonekana unadhani muonekano wa nje unaakisi ule wa ndani. Kumbuka methali isemayo "uzuri wa mkakasi.........." acha kutumia pesa zako kama kigezo cha kuwapata wanawake, utaumizwa, at the end of the day utabaki kuitwa buzi aka mshefa. Ni hayo tu.