Wanawake wa siku hizi hawaaminiki - cheki hii stori

Wanawake wa siku hizi hawaaminiki - cheki hii stori

mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko

umewahi kumfuma physically au ni mambo ya simu tu?
 
piga chin unalemba nin wewe au kakupa kizizi
 
Acha utoto wewe,changudoa hasameheki hata mara 1,piga chini huo mzigo,utakufa na ngoma!
 
Mara tano?nalazimika kufikiri kwamba na wewe atakuwa amekubaini ukimsaliti au kutembea na wanawake wengine mara nyingi tu hivyo unashindwa kumfanya lolote! Mara tano? Mmmh au demu wako kama beyonce?
 
Kweli una moyo mkuu
Five times na the same guy na bado unajiuliza jawabu
Kweli una myo sana
Ulipaswa ujue mapema na alipokuambia kuwa hawezi kuwa mwenyewe anahisi upweke ni kwamba hata ndani ya ndoa ukisafiri baada ya mwezi tuu utakuta mtu ndani
Pole sana
Jiamini na hakuwa wako huyo tafuta wa kwako

Rocky, sometimes kupenda ni ujinga
kupenda ni umbumbumbu
huyu hata umwambie nini ndo kaisha penda hivyo
imekula kwake
 
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko ata watu wakaniambia pia maana majirani tunafahamiana,kesi ikaenda nkamsamehe,mwaka jana nkamfuma tena na mtu uyo uyo yaan namsamehe zaidi ya mara tano namfuma namsamehe kwa mtu huyo huyo,sasa jamani mtu wa namna hiyo eti kisingizio chake hajawahi kukaa maisha ya alone thus Y anapata vishawishi eti jamani io ni sababu ya msingi kweli??mara ooh nashindwa kuelewa jamaa simpendi ila akinipigia simu najikuta napokea eti kama jamaa kamfanyia kitu anakubali tu bila kuelewa huu si uongo kbs
Sasa nimekuja kuamini usemi unaosema dont trust a women..

zaidi ya mara tano, huyo kakupa limbwata
 
kwene mit hakuna wajenz at me nawatafta waivo cwapat at napata vmeo 2napangwa mstar waschana kbao km jamhur ya wa2 wa chna.lakn uyo dem ndo anaharbu ama kwel lyf iz not fair
 
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko ata watu wakaniambia pia maana majirani tunafahamiana,kesi ikaenda nkamsamehe,mwaka jana nkamfuma tena na mtu uyo uyo yaan namsamehe zaidi ya mara tano namfuma namsamehe kwa mtu huyo huyo,sasa jamani mtu wa namna hiyo eti kisingizio chake hajawahi kukaa maisha ya alone thus Y anapata vishawishi eti jamani io ni sababu ya msingi kweli??mara ooh nashindwa kuelewa jamaa simpendi ila akinipigia simu najikuta napokea eti kama jamaa kamfanyia kitu anakubali tu bila kuelewa huu si uongo kbs
Sasa nimekuja kuamini usemi unaosema dont trust a women..

usimlaumu, wewe ndio lofa
 
mie wala sioni cha ajabu hapo...just inevitable consequence ya long distance relationship...people get lonely and need some sexual healing wewe hupo mbali basi wakaribu anamkuna. long distance dont work kaka yaani hilo ukae unalijua kabisa. sasa ndege wako huwezi mfuga mbani na nyumba yako...mnakabana mashati hupo hapo.
 
oooh solembaaaaaaa,samehe saba mara sabini, hapo bado kabisa una kata tamaa. tulia nae usijal ni upepo tu utapita.
 
Naanza kuamini duniani kuna kitu kinaitwa LIMBWATA
Mara 5!!!!!!!??????
 
Naanza kuamini duniani kuna kitu kinaitwa LIMBWATA
Mara 5!!!!!!!??????

Ukistaajab ya Bushoke,
Utayashangaa ya huyu bwana!
Mara moja tu ilimtosha kumpiga chini!!
 
Unasomesha dem???? Ni ki2 kibaya hcho kaka..... Fikicha macho utapata jawabu!!!!
 
watu wengine bana..sasa kinachoufanya ung'ang'ane na huyo mwanamke ni kitu gani ??? hivi hakuna wanawake wengine au
 
ishu siyo kutokumuamin mwanamke manake hata wanaume hawaaminiki. but ni ishu ya mtu binafsi kwamba siyo mwaminifu pia waweza endelea kumamehe manake nakuambia kama huyo ndio umepangiwa awe wako wa moyo basi lazima tu atakuwa.
 
Back
Top Bottom