mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko
Kweli una moyo mkuu
Five times na the same guy na bado unajiuliza jawabu
Kweli una myo sana
Ulipaswa ujue mapema na alipokuambia kuwa hawezi kuwa mwenyewe anahisi upweke ni kwamba hata ndani ya ndoa ukisafiri baada ya mwezi tuu utakuta mtu ndani
Pole sana
Jiamini na hakuwa wako huyo tafuta wa kwako
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko ata watu wakaniambia pia maana majirani tunafahamiana,kesi ikaenda nkamsamehe,mwaka jana nkamfuma tena na mtu uyo uyo yaan namsamehe zaidi ya mara tano namfuma namsamehe kwa mtu huyo huyo,sasa jamani mtu wa namna hiyo eti kisingizio chake hajawahi kukaa maisha ya alone thus Y anapata vishawishi eti jamani io ni sababu ya msingi kweli??mara ooh nashindwa kuelewa jamaa simpendi ila akinipigia simu najikuta napokea eti kama jamaa kamfanyia kitu anakubali tu bila kuelewa huu si uongo kbs
Sasa nimekuja kuamini usemi unaosema dont trust a women..
Ikisha kuwa "a" inakuwa ni "woman" na si "women", women ni plural ya woman. na hapo mwanzo ni "don't, ni "slang" ya "do not".
mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko ata watu wakaniambia pia maana majirani tunafahamiana,kesi ikaenda nkamsamehe,mwaka jana nkamfuma tena na mtu uyo uyo yaan namsamehe zaidi ya mara tano namfuma namsamehe kwa mtu huyo huyo,sasa jamani mtu wa namna hiyo eti kisingizio chake hajawahi kukaa maisha ya alone thus Y anapata vishawishi eti jamani io ni sababu ya msingi kweli??mara ooh nashindwa kuelewa jamaa simpendi ila akinipigia simu najikuta napokea eti kama jamaa kamfanyia kitu anakubali tu bila kuelewa huu si uongo kbs
Sasa nimekuja kuamini usemi unaosema dont trust a women..
Naanza kuamini duniani kuna kitu kinaitwa LIMBWATA
Mara 5!!!!!!!??????
pole mkuu, hapo anadhihisha kuwa haweza kuvumilia hata km ukienda safari. piga chini fasta kabla hujaingia kwenye ndoa!