Wanawake wa siku hizi wachapa kazi

Wanawake wa siku hizi wachapa kazi

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
602
Reaction score
969
Niwape pongezi kubwa wanawake wamejitoa kwenye utegemezi na wanachapa kazi kweli kweli. Kule kuchagua kazi kumeisha na sasa hivi utawakuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye udereva, kondakta, hata wamachinga wanaouza vitu kwenye daladala. Kazi ambazo hapo awali iliaminika ni za wanaume.

Nimepita maeneo ya mbezi mwisho pale stand nikaona asilimia kubwa ya wachuuzi wa vitu kama maj, biskuit, karanga, pipi nk ni wanawake!

Hapo zamani ilizoeleka ni kazi za wanaume tu
Hongereni wanawake kwa mwamko
 
Ni kweli mkuu.. Kwa kiasi flani kuna walio funguka, lakini badobado

IMG_20200806_090833_705.JPG
 
Niwape pongezi kubwa wanawake wamejitoa kwenye utegemezi na wanachapa kazi kweli kweli. Kule kuchagua kazi kumeisha na sasa hivi utawakuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye udereva, kondakta, hata wamachinga wanaouza vitu kwenye daladala. Kazi ambazo hapo awali iliaminika ni za wanaume.

Hongereni wanawake kwa mwamko
Mji umekuwa mgumu usipofanya kazi hauli
 
Njombe ni kawaida kabisa hiyo tangu enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom