Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Niwape pongezi kubwa wanawake wamejitoa kwenye utegemezi na wanachapa kazi kweli kweli. Kule kuchagua kazi kumeisha na sasa hivi utawakuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye udereva, kondakta, hata wamachinga wanaouza vitu kwenye daladala. Kazi ambazo hapo awali iliaminika ni za wanaume.
Nimepita maeneo ya mbezi mwisho pale stand nikaona asilimia kubwa ya wachuuzi wa vitu kama maj, biskuit, karanga, pipi nk ni wanawake!
Hapo zamani ilizoeleka ni kazi za wanaume tu
Hongereni wanawake kwa mwamko
Nimepita maeneo ya mbezi mwisho pale stand nikaona asilimia kubwa ya wachuuzi wa vitu kama maj, biskuit, karanga, pipi nk ni wanawake!
Hapo zamani ilizoeleka ni kazi za wanaume tu
Hongereni wanawake kwa mwamko