Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Mji umekuwa mgumu usipofanya kazi hauliNiwape pongezi kubwa wanawake wamejitoa kwenye utegemezi na wanachapa kazi kweli kweli. Kule kuchagua kazi kumeisha na sasa hivi utawakuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye udereva, kondakta, hata wamachinga wanaouza vitu kwenye daladala. Kazi ambazo hapo awali iliaminika ni za wanaume.
Hongereni wanawake kwa mwamko
kudanga nako ni ujuziHivi kwa wale ambao hawana ujuzi wowote ndo wanadanga ?
Hahaha yanakusoma akili yako kwanza .kudanga nako ni ujuzi
πππHahaha yanakusoma akili yako kwanza .
Duuh wacha weehkudanga nako ni ujuzi