sasa mjini hapa wakalime lami? Mashamba hakuna nyumba ya kupanga sinza cjui manzese. Hebu waacheni wajawazito wa watu
Kwanza oa..; mpe mimba mke wako halafu fanya hiyo experiment yako..hasa wakati anajifungua inabidi uwe hospital.uone wakati mkeo anapigana na maisha yake....JF bado ipo..baadaye lete majibu hapa....
Kumbuka maisha ya ndoa ..siyo "Big Brother reality show" na kumbuka kuzaa sio filamu ya kanumba.. ni Real life.. ni kitu cha kufa na kupona..
Jiulize swali hili.. utapenda mke wako ajifungue kwa kawaida?.kama hapana.. utapenda mke wako apate operation? na kama ni Yes...utapenda operation unajua wakati anafanyiwa hiyo operation kuna uwezekano anaweza kuongezwa damu?.. na kutokana na magonjwa ya sasa damu hiyo inaweza kuwa sio salama? Uko tayali kuchukua risk hiyo? au utakubali operation kama tu imeshindikana kawaida na kuokoa maisha ya mama?
Kaa chini na jibu hayo maswali..hapo juu .. basi utapata jibu la swali lako..
Hata mazoezi madogomadogo wanaweza kufanya.sasa mjini hapa wakalime lami? Mashamba hakuna nyumba ya kupanga sinza cjui manzese. Hebu waacheni wajawazito wa watu
Khabari ya Jumapili kwa mpigo,
Kuna gynecologist mmoja maarufu sana hapa nchini anasema kati ya wanawake 20 wenye umri kati ya miaka 16 – 35 wanaopelekwa kujifungua, 15 hujifungua kwa njia ya caesarean section.
Bingwa huyo amedai kuwa hiyo inatokana na wanawake wengi wa siku hizi kuwa "wanadeka sana" hasa wakiwa wajawazito.
Akiwafananisha na wale waliozalizaliwa hasa nyuma ya miaka ya 70, amesema hawa wa siku hizi ni "wavivu" wanapokuwa wajawazito, hawapendi kujishughulisha.
"Utamkuta mdada mjamzito eti kwa kuwa ana msaidizi/wasaidizi basi nyumbani hashiki kitu, yeye ni kulala tu….wenzao wa zamani walikuwa wanajishughulisha bwana, yaani huwezi kumjua kama mjamzito kwa kazi anazozifanya…mara ataenda shamba, atabeba kuni, akirudi atachota maji, atafua, atapika…ili mradi yupo bize….hata delivery kwao ilikuwa rahisi sana…tena wengi wao waliweza kujifungulia nyumbani, wengine bila hata msaidizi. Hawa wa sasa thubuuutu" alisema bingwa huyo.
Wadau hii ni kweli..?
Sio kwa sababu ya mtandao huu?
Nakubaliana kabisa na mkeshaji kuwa wadada siku hizi tuna uvivu. Ndio maana kasi ya caesarean imekuwa kubwa tena wengine wana uwezo kabisa wa kudeliver normal lakini hawataki. Ila kingine pia najaribu kufanya utafiti lakini kwa wale wenzetu wanaotumia njia ile ambayo si halali ufanya tendo la ndoa hawawezi kudeliver normal. nadhani mkeshaji tusaidiane na hili.
Yaani nimecheka hadi my baby in my stomach ameruka kwa furaha. Sina uhakika sana na hicho mnachokisema maana hapa nilipo nipo kazini napiga kazi kwa kwenda mbele, na ukiona siji ofisini ujue am about to give birth. Hata hivyo kwani kudeka mnakokuzungumzia ni kupi? naona mnachanya mada hapa, kuna kudeka na uvivu hivyo ni vitu viwili tofauti, kudeka kwa nani nayo ni issue nyingine, kama mwanamke ana deka kwa mume wake hilo ni tatizo jamani! ebu tuwe wakweli, kudeka ni sehemu ya mapenzi au nyie hamjui?, yes it is
Kudeka si kumpa house girl kazi asiyostahili, unadeka mkiwa na mume wako tena chumbani na si sebuleni mbele ya watoto, kushindwa kufanya kazi kwa mwanamke mjamzito ni uvivu na hulka ya mtu binafsi hata asipokuwa mjamzito labda ashindwe kufanya kazi kutokana na complications mbalimbali, mfano anaweza kuwa recommended na daktari asifanye kazi lakini ktk hali ya kawaida kuna baadhi ya kazi anazifanya kama kawaida tuKuna aina ya kudeka bana Aine sio ushindwe kufua vikufuli vyako vikatakata then umpe kazi hiyo kazi hiyo housegirl then utuambie eti unadeka!
Khabari ya Jumapili kwa mpigo,
Kuna gynecologist mmoja maarufu sana hapa nchini anasema kati ya wanawake 20 wenye umri kati ya miaka 16 35 wanaopelekwa kujifungua, 15 hujifungua kwa njia ya caesarean section.
Bingwa huyo amedai kuwa hiyo inatokana na wanawake wengi wa siku hizi kuwa wanadeka sana hasa wakiwa wajawazito.
Akiwafananisha na wale waliozalizaliwa hasa nyuma ya miaka ya 70, amesema hawa wa siku hizi ni wavivu wanapokuwa wajawazito, hawapendi kujishughulisha.
Utamkuta mdada mjamzito eti kwa kuwa ana msaidizi/wasaidizi basi nyumbani hashiki kitu, yeye ni kulala tu .wenzao wa zamani walikuwa wanajishughulisha bwana, yaani huwezi kumjua kama mjamzito kwa kazi anazozifanya mara ataenda shamba, atabeba kuni, akirudi atachota maji, atafua, atapika ili mradi yupo bize .hata delivery kwao ilikuwa rahisi sana tena wengi wao waliweza kujifungulia nyumbani, wengine bila hata msaidizi. Hawa wa sasa thubuuutu alisema bingwa huyo.
Wadau hii ni kweli..?
Kudeka si kumpa house girl kazi asiyostahili, unadeka mkiwa na mume wako tena chumbani na si sebuleni mbele ya watoto, kushindwa kufanya kazi kwa mwanamke mjamzito ni uvivu na hulka ya mtu binafsi hata asipokuwa mjamzito labda ashindwe kufanya kazi kutokana na complications mbalimbali, mfano anaweza kuwa recommended na daktari asifanye kazi lakini ktk hali ya kawaida kuna baadhi ya kazi anazifanya kama kawaida tu
Mwaka kesho nitadeka saaaaaaana yani hadi kuogeshwa
kuinama inama unaeza ukapoteza kakinda kako bureeelol, utaogeshwa na housegirl.
Mwaka kesho nitadeka saaaaaaana yani hadi kuogeshwa