Wanawake wa siku hizi wengi wao hawabebi kanga wala kitambaa cha kujifutia wanapokwenda faragha na wenza wao

Wanawake wa siku hizi wengi wao hawabebi kanga wala kitambaa cha kujifutia wanapokwenda faragha na wenza wao

Status
Not open for further replies.

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mambo yanakwenda kasi sana!

Siku hizi wanawake waliowengi hawabebi vitambaa wala kanga za kujifutia baada ya kufanya mapenzi!

Sielewi wamepatwa na nini!

Mwanamke wa dizaini hii nilikuwa nikikutana naye asipokuwa na kanga, basi Mimi nilikuwa najifutia chupi yake!
Sasa siku hizi hali imekuwa ngumu zaidi baada ya wengi wso kuacha Kabisa kuvaa hata chupi zenyewe, Na hata wakizikumbuka wanavaa zile chupi za tandabui kama barakoa ambayo huwezi hata kujifutia!

Hakika wanawake mumeamua Lakini Poa!
 
Iam speechless
Nibebe khanga kuja kumpa bwana ajifutie mishahawa yake halafu niondoke Nayo nkaifue
Hajanioa,sijaolewa nae hatujaoana

Kizazi cha zinaa,kinipitie mbali
Kwahio unaondoka na mishahawa ikikuchuruzika mapajani. Doh we kiboko!!
 
Mie alibeba na akaniachia geto na chupi yake
 
Cyo lazima mwanamke ubebe bhna....hata wanaume beben
 
Breakup ho gya mera.......[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22][emoji22]

I loved her a lot.........she was my first true love.....

Yaad aa rhi h uski.....lekin baat nahi kr skta.......

Koi kuch madad kro yaar.........
 
Kwani mnabanduana porini kiasi kwamba mkimaliza hata hamuogi, oeni acheni uzinzi
Kambi popote, lakini hata huko lodge baadhi ya mataulo hayaaminiki hivyo ni bora kuwa khanga angalau
 
Daaah....

This is too much kwa kweli....

We cross the lines dudes...

We are Africans and entitled to "jando na unyago"...

Hayo mambo ya ndani mno....

Wanawake ni wastiri wetu...miili yao ni zawadi tukufu ya MUNGU kwetu....

They are our mothers....
They are mothers of our kids....
They are our joy and contention....

Kuwavua nguo kisa uliberali si UTU...
Kuwananga Siri zao si UTU...

Wanasitiri miili yetu....
Wanasitiri aibu zetu....

Wengine tuna mikono ya "sweta" hawasemi....
Wengine tuna "vibamia" hawasemi...
Wengine tu km majogoo "dakika chali" hawasemi.....

Real dudes aint blame women pathetically....

No hard feelings thou!!

Muuza Al Kasus
Tandale
 
Kambi popote, lakini hata huko lodge baadhi ya mataulo hayaaminiki hivyo ni bora kuwa khanga angalau
Kama yeye hajabeba, beba wewe taulo uende nalo lodge🤣🤣

Cha muhimu tafuta hoteli au lodge ambazo ni standard na zinaaaminika utakuta mataulo masafi na maji ya kuaminika

Suluhiso la kudumu ni kuoa, unabandua ndani mwako huna haja ya kukimbizana lodge
 
Kama yeye hajabeba, beba wewe taulo uende nalo lodge🤣🤣

Cha muhimu tafuta hoteli au lodge ambazo ni standard na zinaaaminika utakuta mataulo masafi na maji ya kuaminika

Suluhiso la kudumu ni kuoa, unabandua ndani mwako huna haja ya kukimbizana lodge
Mwanamme kugonga inje ni suuuna! Ni hulka ya viumbe dume vyote!

Ndivyo tulivyoumbwa! Ukikuta mwanamme hachepuki lazima atakuwa na shida mahala Siyo kawaida
 
Mwanamme kugonga inje ni suuuna! Ni hulka ya viumbe dume vyote!

Ndivyo tulivyoumbwa! Ukikuta mwanamme hachepuki lazima atakuwa na shida mahala Siyo kawaida
Hizi akili za UVCCM, kwamba kuishi bila kulamba nyayo za flani hakuna maisha, kwa uzinzi wako na kushindwa kutiisha -tamaa zako za mwili unafikiri kila mwanaume yupo hivyo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom