Lakini nasikia wanawake wa Tanga wamekalia kuwahudumia wanaume tu, kwenye masuala ya kushirikiana kutafuta uchumi hawawezi kama mme ni mkulima usubiri kuletewa msosi mzuri tu shambani na kupetiwa petiwa usiku na si mke kukusaidia kushika mpini alime ng'oo! Cjui wanatanga hili ni la kweli?
Wako juu ya nini ? Juu ya meza au
Ni miongoni mwa eneo yanaongoza kwa huduma hiyo...
Chaajabu maambukizi ya ukimwi yako chini. Hivi kuna siri gani
yawezekana wakawa wanatumia sana zana za kujilinda....Chaajabu maambukizi ya ukimwi yako chini. Hivi kuna siri gani
Kaka her ya mwaka mpya
me nashukuru mungu niko mzima kabisa na kaz naendelea nazo kama kawaDada nashukuru nimeuona salama, nilikuwa likizo kijijini ndiyo nimerudi bongo tar. 3 juzi tu hata kazi bado sijaanza.
Wewe je?
yawezekana wakawa wanatumia sana zana za kujilinda....
me nashukuru mungu niko mzima kabisa na kaz naendelea nazo kama kawa
Ni jambo la kumshukuru Mungu wetu. Hakuna mtu aliyekusumbua nilipokuwa nje kidogo?
hamna hata mmoja aliensumbua
ndyoko nakutakia kila la kheri kwenye mwaka huu mpya na miaka mingi ijayowe kiumbe huishi vituko
Hapo sawa.
Pale unaposikia mapenzi ya wanawake wa kitanga (sio hawa waliochakachuliwa na maisha ya kimjinimjini) wale orijino yanachanganya wanaume ukadhani labda watu wanatania, ni kweli.
Mwanamke akihongwa hela atahakikisha anakupatia huduma-wewe mwanaue uiyemhonga-inayoendana na thamani halisi ya hongo uliyompatia. Atakupatia mahitaji yako na 'kukuhudumia' kwa kiwango kinachoendana na gharama halisi ulizotoa-utakula chakula kizuri na kitamu, ikibidi atakununulia zawadi za kawaida lakini zenye kuukonga moyo wako.
Kama huyo ni nyumba ndogo yako basi kuna uwezekano mwanaume ukahamishia makazi kwake, au kama ni mpenzi, jiandae kuoa tena kwa wewe mwanaume kushinikiza ndoa kwa haraka. Kifupi ni kama anaikurudishia hela yoooooooooooote uliyomhonga kwa njia ya huduma bomba na zenye viwango.
Wako tofauti sana na wanawake wa mikoa mingine ya TZ ambao leo ukimwambia atumie gari lako kurudi kwao, kesho ataomba umnunulie Spacio.
Tanga kuna raha bwana!
Hv ni tanga yote inasifa hiyo au sehemu fulani tu ya tanga