kamanda5ch
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 210
- 283
tofauti,
2-ndogo
3-kubwa
unatoa ndogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tofauti,
2-ndogo
3-kubwa
Nisamehe mkuu.Dada Prety usigeneralize.
Mimi naomba uniexclude.
Habari! yenu ktk maisha yangu,Nina miaka 22 Ila nimewahi kuonja vingi,
1.wasukuma-wapo fiti sana kitandani Ila tatizo
uchafu.
2.wahaya-hawana lolote kitandani japokuwa ni
wazuri.
3.wachaga-hawana lolote kitandani,Ila sifa yao good
on looking.
4.waruguru na wapogoro Lao moja, wanayajua
mapenzi hasa upate wale wa vigodoro.
5.wafipa (........)
6.wanyamwezi wanajua kunyonya koni.
7.wanyakyusa wananguvu kitandani kama upo
legelege usijaribu.
8.wazanzibar bora umpige nyuma kuliko umbikiri
MWISHO NI JANA,
Jana nilifanikiwa kufika tanga,na nimepata binti wa kichaga ,dah hawa watu kiukweli wanajua kupenda na kitandani wapo fiti.
Mmmmh kufika tanga na nimepata binti wa kichaga?? Sasa hyo sifa ni ya mchaga au watu wa tanga
hahahaha sijui kwanini mi nimekuta hiyo culture hata mi sionagi aibu kula ugali hata nikiwa away from home
Bonde wakumanya?
Hongera nawe ni mmojawapo kati ya wachache.
Mi ndo maana nimejikita maeneo ya Chuda raha nazo pata we acha tu.
Nikifika tu ananibeba toka mlangoni mpaka chumbani kisha ananivua nguo na kuniandalia maji ya kuoga yaliyowekwa viungo. Tanga jamani raha asikwambie mtu unaweza hamia kabisa.
Napenda kula vinono ngoja niendezangu TAPale unaposikia mapenzi ya wanawake wa kitanga (sio hawa waliochakachuliwa na maisha ya kimjinimjini) wale orijino yanachanganya wanaume ukadhani labda watu wanatania, ni kweli.
Mwanamke akihongwa hela atahakikisha anakupatia huduma-wewe mwanaue uiyemhonga-inayoendana na thamani halisi ya hongo uliyompatia. Atakupatia mahitaji yako na 'kukuhudumia' kwa kiwango kinachoendana na gharama halisi ulizotoa-utakula chakula kizuri na kitamu, ikibidi atakununulia zawadi za kawaida lakini zenye kuukonga moyo wako.
Kama huyo ni nyumba ndogo yako basi kuna uwezekano mwanaume ukahamishia makazi kwake, au kama ni mpenzi, jiandae kuoa tena kwa wewe mwanaume kushinikiza ndoa kwa haraka. Kifupi ni kama anaikurudishia hela yoooooooooooote uliyomhonga kwa njia ya huduma bomba na zenye viwango.
Wako tofauti sana na wanawake wa mikoa mingine ya TZ ambao leo ukimwambia atumie gari lako kurudi kwao, kesho ataomba umnunulie Spacio.
Tanga kuna raha bwana!
Vipi lakini kuhusu 0714???