Wanawake wa Tanzania na Unyanyapaa wa "shapewear" au vigodoro

Wanawake wa Tanzania na Unyanyapaa wa "shapewear" au vigodoro

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Naomba wadada mje hapa; iteni wenzenu tuongelee suala la "vigodoro"

Kwanini tunanyanyapaana kuhusu shapewear jamani? Eti mtu anasema "ridhika na Mungu alichokupa". Kweli?

Nywele za bandia weka, hakuna atakayekusema(labda figganigga )

Kucha za bandia weka, hakuna atakayekusakama ingawa hukuzaliwa nazo

Kope za bandia weka, hakuna atakayesema lolote

Ila nunua ki "buttlifter" chako watu hao wanaanza kukusimanga ooh anajiongezea sio lake. Ndio sio langu jamani lakini ndo napenda liwe hivi, nisubiri nife nirudi tena?

Halafu bongo wadada tunavaa sana, tunajua kudamshi ila tunaangushwa sana sana na nguo za ndani(hili somo la siku nyingine) na kutojua umuhimu wa shapewear.

IMG_1391.JPG


IMG_1390.JPG


Mtu anavaa nguo ya designer huko lakini sasa anashindwa hata kuvaa na chupi zenye kubana tumbo apendeze sababu ya unyanyapaa anapambana na majaliwa yake.

Mimi naona tuwe open minded kuhusu haya mambo. Ni katika kuenhance tu uzuri jamani. As long as haifanyi permanent damage basi haina shida. Vaa hiyo nguo unayotamani kuvaa maisha ndo haya haya. Kama tumbo linaning'inia libane. Kama huna tako la kuvaa nguva weka kasponji kako mwanawane na vihipsi kidogo, kama nyonyo is sleeping boost mwanawane vaa kablauzi hako.

IMG_1385.JPG


Na wanaume acheni hizi habari za "tukifika chumbani nikakuta hakuna tako je?" Wewe kila siku unaokota tu wanawake unapeleka chumbani kwako hata hujawasoma mkajuana vizuri? Kama ndio subiri yakukute ya Kimara ya kudungwa na vidume 6.

Nimemaliza.
 
Ndio maana Hamisa kaweka pamba masikioni, sijui kwanini hapo kwenye buttlifter wanaona ni aibu au maajabu ya mwaka wakati wanabandika makope mpaka macho hayafunguki, wanabandika makucha na mawigi wanakua kama Shumileta, wana boost manyonyo wanakua kama wameficha mpira kifuani ila linapokuja suala la buttlifter kila mtu atasema lake.

Wabadilike.
 
Mimi pia ngoja nikatafute tummy tucker; asante mdau kwa somo limeni-inspire. Maisha ndio haya haya fanya kitu roho inapenda as long as humkwazi mtu.
 
Kunywa soda kwa mangi nakuja kulipa. Mbele huko hakuna matajiri Kama cosmetic surgeons. Halafu hapa wananyanyapaa kakigodoro kadooogo.![emoji23]
 
Je unasumbuliwa na mapunye au chunusi za mda mrefu?

Basi solution lako ni shaza soap,sabuni kutoka burundi ambazo zimetengenezwa kutoka nchini burundi zenye mchanganyiko wa flavour ya lemon,zenye uwezo wa kuondoa chunusi na hata madoa sugu ya muda mrefu,miwasho na hata mapele

Pia huwafaa pia kwa wale wenye ngozi zenye mafuta mengi kwani hunyonya mafuta na kukuacha mkavu,na ni nzuri pia kwa watoto sababu humkinga na maambukizi ya bacteria hatari,zinapatikana kwa bei ya shilingi elf 2 tu ,na kwa katoni nzima zipo 36,nauza kwa elf 60 tu ni original nimetoka nazo burundi moja kwa moja

Karibu nikuletee mpka ulipo
0659756647 whatsapp

0623953036 piga
 
Na hili joto la sasa, wadada wana shida sana
 
Back
Top Bottom