monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Mkumbuke kuwa wanaume huwa tunafuata vitu viwili kwa wanawake ambavyo ni;
1.Tabia
2.Qummer
1.Tabia
2.Qummer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa ndo panapokera. Yaani maisha ya mwanamke yanarevolve around kutamaniwa na mwanaume tu?
Conscious mindMe kisaikolojia ivo vitu vimenisha kuvaa kama naona utumwa.
Shida wanaumeeee ndo mnapenda wenye mijizigoTabu zote za nini? Unakutana na mdada kajaladia mpaka mwendo anakuwa kama kilema.. NIni sasa!
Mizigo ni pie hadi nyie mtakapoacha kutunyanyapaa sie short chasisShida wanaumeeee ndo mnapenda wenye mijizigo
Haaaa mie sio demu kiongozi. Hapo nasisitiza sie wanaume si tunashibokea shepu? Wenzetu wananunua sasa dukaniMizigo ni pie hadi nyie mtakapoacha kutunyanyapaa sie short chasis
Hapa unachanganya madesa Shem,Je, unawachukuliaje wanaovaa kwa mapenzi yao?
niko na weweMkumbuke kuwa wanaume huwa tunafuata vitu viwili kwa wanawake ambavyo ni;
1.Tabia
2.Qummer
HahahaJikubali wewe...Ben Pol mwenyewe amejikubali kwamba hana hela sahivi kapata sponsor anampa good time tu na mapenzi kama yotee no stress. Sasa we vimba na vigodoro hivyo halafu uishie kuleta uzi mbona hupati dume la kudumu.
Hahaa anavaa wewe hauoni jinsi anavyo chongokaga sehemu za kiuononi na mapajani
Nimependa topic hii,,tatizo linacreate fake image , ukienda kusaula kwa boyfriend tobaaaa lol