Tembea tu mkuu ujionee, tz kwenda rwanda,burundi,kenya na ug haizid hata milioni 2 kwa bus na lodge ndani ya 2 weeksTanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda. Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
Ug ndo kna martha kay [emoji91][emoji91][emoji91],kenya watoto wzuri wengi tuKenya na uganda ondoa kwenye hiyo rist mkuu. Hapo uniambie Rwanda tu
Unaelewa maana ya "bullshit"?Ndio hivyo mkuu. Tulia
Ni kweli kabisa naunga mkono hoja japo wengine watakuja kupingaTanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda. Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
Uko sahihi kabisaUmeona mkuu...! Kinachoiongezea Tz ubora katika hilo,hii nchi ni kubwa sana. Ina vijiji vingi. Vijiji vingi vimebarikiwa kuwa na warembo wasiojulikama
Hivi wewe ni "me" au "ke",?Mkuu nimekaa kaa pale nairobi,japo inakuwa haizidi wiki,lakini duuuh...! Mingi imejazia jazia,miili yao haileweki eleweki