Wanawake wa Tanzania ni warembo sana

Wanawake wa Tanzania ni warembo sana

Swet-R

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
5,613
Reaction score
8,082
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda.

Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
 
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda. Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
Tembea tu mkuu ujionee, tz kwenda rwanda,burundi,kenya na ug haizid hata milioni 2 kwa bus na lodge ndani ya 2 weeks
 
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda. Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
Ni kweli kabisa naunga mkono hoja japo wengine watakuja kupinga
 
Mkoa unaongoza kwa totos TZ ni Dar hapa ndo funga kazi.
 
Back
Top Bottom