Wanawake wa Tanzania ni warembo sana

Wanawake wa Tanzania ni warembo sana

Ni kweli kabisa, kila kanda ya nchi yetu nimeishi. Kuna wanawake wazuri sana
 
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda.

Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza usiamini. Achana na hao akina wema mliowazoea,kuna wasichana warembo humu vijijini ogopa.
Bila picha futa uzi
 
Back
Top Bottom