Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

Mkuu hivi pale UDBS huwa wanaangaliaga sura nini mana wote wazuri. .
Nendaa Coet huko ukakutane na wadada wenye sura chungu


ZAMAN pia ilikua DIT mademu walikua wachunguuuu ukicompare na CBE!sijajua kwa miaka ya karibunin]
 
Nadhani Ungesema kwa macelebrities, sio wanaeake wote, ila kuna kina meninah, naj, masogange, sijui umewaona hao
 
yaan GENTAMYCINE nimeishia kucheka jaman !yaan wewe !khaa umeorodhesha orodha ndefuuuuuuuuuuuuu hahahha !uwi, ila hujamtaja mbunge best kwako
 
Mkuu mbona shape anayo au unamaanisha chura ndo shape
Angalia kati ya tumbo na hips ndo utajua kwanini nimesema hana shape mf vanesa mdee hana chura lkn ana umbo
Umbo la mwanamke ni mkao na mikato ya nyonga yake ilivyo ndo hapo tunaanza kusema fulani ana shape
 
Angalia kati ya tumbo na hips ndo utajua kwanini nimesema hana shape mf vanesa mdee hana chura lkn ana umbo
Umbo la mwanamke ni mkao na mikato ya nyonga yake ilivyo ndo hapo tunaanza kusema fulani ana shape


proportional ya tumbo na kiuno imepishana kidogo sana (kwa lulu)!au niseme kutoka tumbon had kwenye hips pamepishana kias sana !wengne tumbo unakuta 34 lakini hips 47!hapo huyu tunamwita mikato anayo!hata unenepejee huwa hailingan ht siku 1! au angalia bega lako fananisha na hips!must bega liwe dogo than hips! nimeyaonaga hayo kwa mafundi mwe ! mtu mwenye hips ana vipimo ving zaid katika kumpima !mwee !nimemsaidia kumwelewesha yule pale alosema anabisha !
 
Yap na ukimtizama lulu ni km kiuno na hips Vipo sambamba usione kujibinua tu, sasa kuna ambae akisimama mguu sawa hips zinazidi mabega hapo ndo utasema Mungu fundi
 
Yap na ukimtizama lulu ni km kiuno na hips Vipo sambamba usione kujibinua tu, sasa kuna ambae akisimama mguu sawa hips zinazidi mabega hapo ndo utasema Mungu fundi


yes ni kam vipo pamoja !ILA MZURI
 
Mdogo wake Vanessa Mdee anaitwa Mimimars au mdada aliyeimba nawararua rarua ,ukiongeza na Tunda wanaweza toa upinzani mkubwa kwa Lulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…