Wanawake wa Tanzania ni Wazuri, ila Elizabeth Michael Lulu ni Mrembo kuliko wote nchini

Wanaumeeee mlirogezewa papuchi sio bure [emoji23] [emoji23] [emoji23] mtutumie picha na sie tuonepo maana bongo muvi tumewachoka na makeup zao
Hio kitu haina baunsa, afu wanawake wengi wanawasakama wanaume kupenda sana papuchi, wakati na wao wanafurahia kale kamchezo hakana mjanja
 
Yaani maeneo yooote mkuu uko sawa ile ulipokesea tena nakupa pole sana ni kuwa katika kundi la mikia hilo siyo chama Jangwani bwana ndiyo mambo yote watoto wa mjini woooote wako huko toroka uje mkuuu.
 
Kinachomchanganya mleta uzi ni urembo unaoletwa na vipodozi tembelea singida, manyara, kondoa ujionee mambo kuna wasichana wana uzuri wa asili hata vipodozi haitaji ye mzuri tu haswa wale weusi
Watoto wa Kondoa. Tupo ok. Huyo Lulu haingii hata kidogo
 
Kweli sura tu mashaalah.
Ila chini me nimemzidi mara 8[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Swadakta chini Hamna kitu mijibinuo tu ile hata sura nayo ni ya kujiangalizia kwenye kioo lkn sio ile ya kushtua watu
 
Swadakta chini Hamna kitu mijibinuo tu ile hata sura nayo ni ya kujiangalizia kwenye kioo lkn sio ile ya kushtua watu
Makeup na vigodoro vya kuongeza Shep ndo zinawasitiri [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…