Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU
Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.
Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.
MCHUNGUZI HURU
Jamas uns Id nyingi wewe ndo maana huwa nasema Jf members hawazidi 500
Ni kweli, tena kweli kabisa. Mi wakat namzaa mwanangu mzaramo aliniambia niwe namfunga kama kitambaa chin ya makalio kunyanua shape afu na jinsi ya kumbinua kiuno nkafanya moja tuu LA wowowo, mwanangu anashape nzuri hatar nlifanya ivo kipind hajakomaa yan akiwa kachangaaa. Naambiwa uswazi weng wanawafanya ivo,alafu kukatika ni kwa vile wanamichezo hyo kila waendapo wao kukatika hata mama zao wanawawaambia aya katika nikuone,alafu vigodoro ni ving. Mi mwanangu nlimuacha chanika miaka mitatu kurud ni mtaalamu wa kukatika
Umeandika kimahaba kweli..:becky: yaani nimeibadilisha ikama kama unaongea..kama unabisha ebu soma kama ulivyoandika.
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU
Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.
Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.
MCHUNGUZI HURU
Hata kitandani watoto wa kiswazi watanu sana...wakishua kazi kuongea kidhungu tu hawajui shughuri....wavivu
Jamaa una Id nyingi wewe ndo maana huwa nasema Jf members hawazidi 500
Jamaa una Id nyingi wewe ndo maana huwa nasema Jf members hawazidi 500
hahahah...mkuu ulishawona wazazi wa hao wa ushuani... kwi.kwi.kwi... sio kwamba natukana wazazi wa watu ila kusema ukweli uzuri au ubaya wa umbo tunarithi kwa wazazi...sasa ..huko masaki wengi wao ni washua waliopiga buku yaani wakurugenzi na mawaziri....zamani bwana kulikua hamna demu msongo mzuri au handsome akawa msongo....wasongo walikua wabaya haswa....akiwa mzuri sura basi miguu inamatege, yaani unaweza jiuliza hivi baba alimpendea nini mama au unajiuliza mama alimpendea nini baba..hawana mvuto. ...... uswahilini ni mafailure ila wazazi wao ni wakali..unaweza pita uaswazi ukapishana na mama wa makamo mpaka ukajiuliza alivyokua kjana alikuaje. Ila kwa sasa wajukuu ndio wanakimbiza ushuani.....kwa hiyo tuwape miaka mingine kumi watakua washaiva, kwa sasa viache vichezeane vyenyewe kwanza..
Tatu tu kaka angu....Wewe unazo ngapi mtoto mzuri?
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU
Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.
Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.
MCHUNGUZI HURU