Wanawake wa Uswahilini wana Makalio Makubwa Sana

Wanawake wa Uswahilini wana Makalio Makubwa Sana

BUKU JERO hii ni nukuu ya style ya MCHUNGUZI HURU

on how he write thread au ndio ile twin IDs fafanua!
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU

Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.

Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.

MCHUNGUZI HURU
 
Ni kweli, tena kweli kabisa. Mi wakat namzaa mwanangu mzaramo aliniambia niwe namfunga kama kitambaa chin ya makalio kunyanua shape afu na jinsi ya kumbinua kiuno nkafanya moja tuu LA wowowo, mwanangu anashape nzuri hatar nlifanya ivo kipind hajakomaa yan akiwa kachangaaa. Naambiwa uswazi weng wanawafanya ivo,alafu kukatika ni kwa vile wanamichezo hyo kila waendapo wao kukatika hata mama zao wanawawaambia aya katika nikuone,alafu vigodoro ni ving. Mi mwanangu nlimuacha chanika miaka mitatu kurud ni mtaalamu wa kukatika

Na ukimwi ulimpima?
 
Vipi kuhusu me wa ushuani na uswahilini kuhusu dushelele zao au hujafanya utafiti
 
Nadhani kuna uhusiano na makabila.
Wanyachusa na wahaya wanaingoza sana tena ni natural sio mchina.
Wengine kama wapare pia si haba.
Wachaga wapo flat kama sinia.
Watanga nao wamo kidogo na wazaramo
 
Nadhani kuna uhusiano na makabila.
Wanyachusa na wahaya wanaingoza sana tena ni natural sio mchina.
Wengine kama wapare pia si haba.
Wachaga wapo flat kama sinia.
Watanga nao wamo kidogo na wazaramo

Mwee! Mwee! Mwee!.......sinia?

La shughuli au?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Thread inaisha bila picha tukaona kama ni kweli¿
 
kweli kaka hata huku tulipo wasichana wa kheylitsha huwezi kufananisha na wasichana wa constantia
[h=3][/h]
 
kuna sehemu nilienda kumtembelea rafiki yangu hapa moshi kunaitwa ushirika wa neema,nilishangaa asee kila Mdada ana 'tinginya'
 
somehow ni kweli, sababu wao muda mwingi wapo majumbani kula kula ndio faraja yao,hawapo busy sana.
 
wa sababu wa Uswahilini Wanapenda kucheza taarabu na pia wenza wao wanapenda makalio
 
hii ni kweli kabisa aise,ndiyo maana nawapendaga hawa wakienyeji wangu,na siyo wale dady am going nyiingiii
 
I dare to post thread openly..... mi ndio MCHUNGUZI HURU

Wadau huu ni uchunguzi wangu binafsi: Nimegundua kuwa wanawake wa Ushuani kama vile Masaki, Mbezi Beach n.k hawana MAKALIO MAKUBWA SANA kama wale wanawake wa Magomeni, Manzese, Temeke, Mbagala na Tandale.

Sijajua sababu ila ukweli ni kwamba wengi wana makalio makubwa na wanajua sana kukatika.

MCHUNGUZI HURU
AFRICA BAMBATAAAAA.....
 
Back
Top Bottom