Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Siku moja nilikuwa nimeuzuri kikao cha kiutendaji na wanachama wa taasisi A.
Karibu yangu nilikuwa nimekaa na mbaba mmoja, ana kama miaka 45 hivi. Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu, na kipato si kibaya, kwa sababu anaweza kuwa na 'net' ya m. 5 kwa mwezi; achilia mbali mambo mengine.
Kilichonisikitisha; ni mwili, mdomo kutoa harufu ambayo si rafiki kwa watu waliokaa naye karibu. Kwangu nilitamani muda ukimbie ili kikao kiishe haraka, tuweze kuondoka.
Nikajiuliza, mkewe ameshindwaje kumbadilisha mumewe ili awe ananukia vizuri?
Kwa sababu sisi wengine, wake zetu ndio wanatupangilia mavazi ya kuvaa, sabuni nzuri za kutumia, mafuta na manukato mazuri ya kutumia.
Mi nadhani, lawama zote ziende kwa mkewe.
Karibu yangu nilikuwa nimekaa na mbaba mmoja, ana kama miaka 45 hivi. Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu, na kipato si kibaya, kwa sababu anaweza kuwa na 'net' ya m. 5 kwa mwezi; achilia mbali mambo mengine.
Kilichonisikitisha; ni mwili, mdomo kutoa harufu ambayo si rafiki kwa watu waliokaa naye karibu. Kwangu nilitamani muda ukimbie ili kikao kiishe haraka, tuweze kuondoka.
Nikajiuliza, mkewe ameshindwaje kumbadilisha mumewe ili awe ananukia vizuri?
Kwa sababu sisi wengine, wake zetu ndio wanatupangilia mavazi ya kuvaa, sabuni nzuri za kutumia, mafuta na manukato mazuri ya kutumia.
Mi nadhani, lawama zote ziende kwa mkewe.