Wanawake wajawazito wanajifungulia sakafuni Hospitali ya Buzurugwa

Hao akina mama wakitoka "leba" wakaongea na waume zao na ndugu zao waikatae CCM zaidi ya kifo kwenye sanduku la kura na kwa namna yeyote ile.

Otherwise hatutaki watulalamikie hapa ni matatizo ya kujitakia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…