Wanawake WAJAWAZITO

Celebrity

Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
66
Reaction score
1
Jamani mimi napenda sana wanawake wajawazito infact nikimwona tu anatokea naenda mnara naweza kupanda daladala naye na nishuke mpaka afike na mimi nageuza tena. hata ofisini nikimwona mdada anadalili za kupata mimba au ana mimba nakuwa naye karibu hata chai namwandalia sema wengi huwa mimba zao hazinipendi.

Ni ugonjwa au ni nini? napenda kweli wajawazito nitaachaje hii tabia?
 
DUH KAAAAZI KWELIKWELI, wewe ni wa kike au wa kiume?
 
Mie naona una bahati.ndio wito wako Mungu amekupa wa kuwapenda na kuwasaidia wajawazito.
 

Zinapandikizwa hizo siku hizi.... we tangza tenda tuuu...utaalamu upo!!!
 
mi mwenyewe huwa napenda kweli kuwaona wanawake wakiwa wajawazito,nikiwaona nafurahi mno huku nikiwaza siku yake ikifika atavyohangaika
 
mmmh kaka usije mbaka dada wa watu na uja uzito wake!
 
hahaha watu mna vituko jamani ....ni afadhari uwapende hivo hivo usivuke mipaka
 

Hahaha! We lazima utakuwa mnajimu! Hapo kwenye bold umenimaliza kabisa!
 
wana kajoto fulani hivi ndio maana mjamaa anajisogeza karibu ao,hasa wakiwa kwene miezi 7 hivi huwa wazuri kweli kweli..!
 
Hahahahahahahaa.jamani makubwa.na wewe unafurahia mateso?
nafurahia mateso yao sana lakini sijui kwanini huwanikimwona mjamzito kwanza navuta picha mkunga anasema puhiiiiiiiiiiiiiiiiiii, basi moyo wangu husuuzika mno!
 
nafurahia mateso yao sana lakini sijui kwanini huwanikimwona mjamzito kwanza navuta picha mkunga anasema puhiiiiiiiiiiiiiiiiiii, basi moyo wangu husuuzika mno!
Kweli tumeubwa tofauti.
Afu nimewahi sikia kuwa kuna wanaume wanapenda kusex na wajawazito.eti ni kweli?
 

Something must be wrong somewhere, nadhani huna kazi ya kufanya, unawezaje kupanda daladala na mtu na kumfuata nyuma nyuma kama mkia eti kisa umeipenda mimba yake na wewe si utafute mpenzi wako umjaze mimba uwe unamtumbulia macho 24/7.,halafu unaposema eti hata ofisini ukiona mdada ana dalili ya kupata mimba..huwa unajuaje mtu mwenye dalili ya kupata mimba, au unakula chabo mazee?..,lol si ajabu ndio maana mimba zao hazikupendi.
 
Hahaha! We lazima utakuwa mnajimu! Hapo kwenye bold umenimaliza kabisa!

dalili za mwanamke anayekaribia kupata mimba huwa wanachecheka sana, na kuwa na endless smile. Pia wanawapigia waume zao simu kila mara na hutaja maneno ya kimapenzi/kmahaba.


Bado siwezi hata kupata mchumba kwa vile mimi napenda mtu mjazito tu sasa kumwaproach mjamzito kazi ngumu sana kuliko kuzibua vyoo vya city.


Sina kazi ya kufanya? ur very rude, nimekwambia nisaidie niepuke hili tatizo la kupenda wajawazito wa wtu wewe unanitusi. Mida ya kuwafata ni wakati wakutoka job jioni au wk end nakaaga Agha khan hospital natabasamu naungaga nafoleni sometimes pale chini upande wa clinic
 
Kweli tumeubwa tofauti.
Afu nimewahi sikia kuwa kuna wanaume wanapenda kusex na wajawazito.eti ni kweli?

Mimi ninachojua wanawake wajawazito wanapenda kufanya mapenzi ili kufungua njia! 🙂
 

Kweli nahisi unahitaji msaada wa kisaikolojia. Sasa nikuulize, unapenda kuwaona tu au huwa unakwenda ''an extra mile'' ya kutamani kufanya nao mapenzi?

Hapo kwenye red pamenishtua! Aisee siku nikioa mke wangu nitakuwa nampeleka clinic mimi mwenyewe! Nimeshtuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…