Celebrity
Member
- Jan 7, 2010
- 66
- 1
Jamani mimi napenda sana wanawake wajawazito infact nikimwona tu anatokea naenda mnara naweza kupanda daladala naye na nishuke mpaka afike na mimi nageuza tena. hata ofisini nikimwona mdada anadalili za kupata mimba au ana mimba nakuwa naye karibu hata chai namwandalia sema wengi huwa mimba zao hazinipendi.
Ni ugonjwa au ni nini? napenda kweli wajawazito nitaachaje hii tabia?
Ni ugonjwa au ni nini? napenda kweli wajawazito nitaachaje hii tabia?