Wanawake wakifika sokoni wanauliza gharama ya bidhaa zote ndio maana wanachelewa

Wanawake wakifika sokoni wanauliza gharama ya bidhaa zote ndio maana wanachelewa

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
Mwanamke hata akienda sokoni na shilingi elfu moja kununua sindano ya kushonea nguo, atazunguka soko lote na kuuliza bei ya kila bidhaa.

"Hili dela ni bei gani?"
"Hivi viatu ni bei gani?"
"Hili gauni ni bei gani?"
"Hii skirt ni bei gani?"
"Hili sofa ni bei gani?"
"Hii TV na Subwoofer ni bei gani?"
"Haya mapazia ni bei gani?"
"Hili carpet ni bei gani?"
"Hili jiko la gesi ni bei gani?"

Wauzaji watashughulika nae kwa ukarimu wakidhani wamepata mteja wa kufungia biashara, lakini kumbe mteja mwenyewe ana shilingi elfu moja mfukoni.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
 
Sasa jamani si ndiyo budget inakaa vizuri!!! Utanunua vipi bila kujua bei ya vitu
 
Mwanamke hata akienda sokoni na shilingi elfu moja kununua sindano ya kushonea nguo, atazunguka soko lote na kuuliza bei ya kila bidhaa.

"Hili dela ni bei gani?"
"Hivi viatu ni bei gani?"
"Hili gauni ni bei gani?"
"Hii skirt ni bei gani?"
"Hili sofa ni bei gani?"
"Hii TV na Subwoofer ni bei gani?"
"Haya mapazia ni bei gani?"
"Hili carpet ni bei gani?"
"Hili jiko la gesi ni bei gani?"

Wauzaji watashughulika nae kwa ukarimu wakidhani wamepata mteja wa kufungia biashara, lakini kumbe mteja mwenyewe ana shilingi elfu moja mfukoni.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Duuh ni haki ya mteja kuulza bei
 
Wanawake ndio mama zetu hAkuna namna, ni hulka zao
 
Jifariji ivo ivoo. Demu wako hajarudi hadi sa hivi ni kwa sababu anagongwa huko nje.
Ww amin kuwa anaulizia bei ya bidhaa zote
 
Hilo nalo ni kosa 🤔🤔🤔
Umekosa kitu cha kuwasemea umeamua uje na huu upuuzi.
Hamchoki 👋👋
 
Back
Top Bottom