Wanawake wakimachame si wakuoa!

Kwanin wametwa wapalestina...!
Kuna kastori fulana kuhusu hawa watu, sasa sijui niweke kwenye jukwaa gani.mkibosho na mmachame.nukta
 
warombo wapole sana,kibosho wezi wanawaibia waume zao na kujenga kwao,marangu kutembea nje ya ndoa nikitu cha kawaida sana,uru washamba sana,old moshi kama wamarangu,

kwa hili la mmarangu linaukweli ndani yake.nukta
 
Siku hiz hakuna cha mmachame, mgogo, msambaa wala mzaramo. They are one and the same. anayoyasema mtoa maada ni mambo ya zamani, tena yakufikirika zaidi......Swala la kupenda pesa needs a case-by-case analysis and not a sheer generalization.

Siku hizi walio wengi, regardless yeye ni kabila gani, huwa wanaficha makucha wakati wa u-girl friend na u-boy friend...ukishmuoa tu, anageuka na kuwa very expensive..very demanding, very nagging, very disturbing, very..........(you name it).

My take: A woman is how you make her, and a man is how you make him.
 
Naona ingekuwa bora ianzishwe thread ya mabinti wa kimachame kwa sababu auwez kupita mwez bila kuanzishwa mada inaowausu awa watoto wa kipalestina,what i thanks GOD nina dada watatu na wote wameolewa mmoja kilimanjaro,tanga na kenya na mimi narudi kuowa binti wa kipalestina wanajali home sana awa masister zangu krismas wawili watakuja machame na familia zao kusherehekea wenye chuki woooote karibuni machame urara kwa dk .... Bado yupo binti mmoja anamalizia chuo kwa mzee madiba
 
ha! Mi nilikua natarajia kufunga ndoa na bibie wa kimachame dec 28 niahirishe nini?

Sio tu uahirishe hiyo ndoa, bali usioe kabisaaa. Nachokiona ni kwamba huna character za kiume ndio unaweza kuahirisha mambo yako kisa yametajwa vibaya kwenye nyota.
 

Hivi kwa nini wabongo tunakuwa na jealous za kimaskini. Wamachame watamu jamani acheni. sasa kama mtu ulikataliwa au bwanaako amekimbilia kwa mmachame kaushia moyoni tu, huna haja ya kulialia. Na wewe jitamushe, alaaaaaaaaha!
 
Acha umang'aa arifu,.maza angu ni mmachame na mshua ni mrombo na pesa ipo mböna hajamuua dingi?
 

Aisee mimi mwenyewe nilikuwa nafikiri ni strory tu lakini nimeanza kuamini, nasema hivi kwa kuwa kuna baba angu mdogo amebahatika kuoa huko. Mwanzoni tulisaidiana vizuri kwenye masuala ya kuinua wadogo zetu, mauncles n.k kwenye issue ya ada za shule and so forth, but mzee alikuja kuchange ghafla now days si kama zamani (hatusemi kuwa asimjali mamayetu na familia yake lakini dingi hana msaada tena, halafu si mtu wa kujichanganya tena na sisi except kwa wamachame).
 
Crap...

 
yan acha kabisa mijitu ya kutoka hii kabila ina roho mbaya sijawah kuona me nimeshuhudia kwa macho yangu.familiar ss hii wamachame wengi waliokuwa na maduka makubwa kkoo wamefilisika coz of roho mbaya na ukatili.usithubutu kuna au kuona na hii mijitu
 
Atukatai kama pesa ndo mpango mzima lakini sio kuwatanguliza waume zao
 
Sio kweli mnawaonea majirani zangu,hizi ni simulizi zilizokuwepo tangu zamani lakini hazina ukweli wowote,wanoongoza kwa kuwauwa wanaume wanajulikana.zile nyumba za kariakoo zinamilikiwa na wanawake ambao ni kabila gani?
 
Naawangalia tu na comment zenu against wamachame!!
Mbaya zaidi Shemeji yenu nae wa hukohuko,
Ni kabinti kadogo tu ka miaka 23 nami 31, na kananipenda kweli!
Sasa sijui katakuja kunigeuka maskini ya mungu mimi!!
Kila nkitaka kukapiga chini kisa kabila nakaonea huruma maana naona kama hakajaanza mchezo huo wa kikabila kwa sasa!!
But huko mbeleni sijui itakuaje mskini!!
 
Ooh God, i thanx u for being Mmachame! Hao Wanakubali kuuwawa wanakufa kwa kiherehere chao. Kwa pesa zipi au mali zipi za kumuulia mtu? Hako kamshahara ka laki unusu na bajaji ndo mali? Ukizaliwa ktk makabila maskini tabu sana, ukinunua pikipiki unajiona tajiri eti machame atakuua! Pyaa! Umaskini mpaka wa mawazo? Khaa! Proudly Mmachame wa alya Kyalia! Mbon tany bhana! Alaa eni fwen mwambe lwawawoo mbaka eti!
 

Ukimwacha itakula kwako, by the way wamachame ndio wanawake wenye quality za educated, beutiful, intelgent and hard working waliobaki Tz. Muoe tu kwani kufa utakufa hata usipooa kabisa
 
karne hii ucpooa wakimachame utaoa yupi? wanawake na wanaume wakimachame hoooooooooooooooyeeeeeeeeeeeeeeeee wanaowasema vibaya ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mwanamke gani acyependa pesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…