Pre GE2025 Wanawake wakipewa madaraka wanaongoza kwa chuki ili kukomoa wanaume, hasira zote zinahamia kwetu. Tutakutana 2025!

Pre GE2025 Wanawake wakipewa madaraka wanaongoza kwa chuki ili kukomoa wanaume, hasira zote zinahamia kwetu. Tutakutana 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake. Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu. Kila mahali wanataka huruma. Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewa kijinsia.

Leo nyimbo na ngonjera nyingi ni za kutufubaza akili tuache kutafuta namna ya kupiga hatua kisiasa tukae tuanze kuwaonea huruma. Nasisitiza 2025 hatapita mtu ati kwa sababu ni mwanamke. Tutapambana. Nginja ngija. Majukwaani.

Wanawake wengi wakipewa madaraka lengo lao la kwanza au adui yao wa kwanza ni mwanaume. Wanaume wa kweli wameshaona jinsi hali ilivyo hakuna fair kila sehemu kwa wanaume. Mwenye macho anaona kwa sasa wanaume wengi wanaoza jela kwa makosa ya kindoa tu.

Wanaume wananyanyapaliwa hata kwenye mikopo ya mabenki na serikali. Wanaume tuachane na huu wimbo. Tunyanyue tai zetu juu tuongoze nchi 2025, uchaguzi ujao usiwe uchaguzi wa kuoneana huruma.
 
Duh

Kama Wanaume ndio Wanamuziki wa Jazz band, Wanamuziki wa Kizazi kipya, Wachekeshaji, Waimba Gospel, maBank teller, Wahasibu na Shughuli nyingine soft soft ulitaka Wanawake wafanye kazi gani ilhali Zao mmezichukua 🐼

Ndio wameshapindua Meza hivyo bado Ngome na Pilato 😂

Ukifika Mafinga Wachana mbao msituni ni akina mama wale Wanaume Wamejazana Stendi kupiga Debe 😀😀

Gabriel, Mikael, Rafael na Lucifer
 
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewq kijinsia !
Mlishakosea toka mwaka 2001 kuanza Women Empowerment Programs. Sahizi ni muda wa Mavuno 😂
 
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewq kijinsia ! Leo nyimbo na ngonjera nyingi ni za kutufubaza akili tuache kutafuta namna ya kupiga hatua kisiasa tukae tuanze kuwaonea huruma! Nasisitiza 2025 hatapita mtu ati kwa sababu ni mwanamke! Tutapambana ! Nginja ngija! Majukwaani !! Wanawake wengi wakipewa madaraka lengo lao la kwanza au adui yao WA kwanza ni mwanaume!! ,wanaume wa kweli wameshaona jinsi Hali ilivyo hakuna fair Kila sehemu kwa wanaume! Mwenye macho anaona kwa sasa wanaume wengi wanaoza jela kwa makosa ya kindoa tu ! Wanaume wananyanyapaliwa hata kwenye mikopo ya mabenki na serikali ! Wanaume tuachane na huu wimbo ! Tunyanyue tai zetu juu tuongoze nchi 2025 ..uchaguzi ujao usiwe uchaguzi wa kuoneana huruma !!
Refer Ahsante kufuatilia Bajeti ya Wizara ya Jamii 2024/24
 
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewq kijinsia ! Leo nyimbo na ngonjera nyingi ni za kutufubaza akili tuache kutafuta namna ya kupiga hatua kisiasa tukae tuanze kuwaonea huruma! Nasisitiza 2025 hatapita mtu ati kwa sababu ni mwanamke! Tutapambana ! Nginja ngija! Majukwaani !! Wanawake wengi wakipewa madaraka lengo lao la kwanza au adui yao WA kwanza ni mwanaume!! ,wanaume wa kweli wameshaona jinsi Hali ilivyo hakuna fair Kila sehemu kwa wanaume! Mwenye macho anaona kwa sasa wanaume wengi wanaoza jela kwa makosa ya kindoa tu ! Wanaume wananyanyapaliwa hata kwenye mikopo ya mabenki na serikali ! Wanaume tuachane na huu wimbo ! Tunyanyue tai zetu juu tuongoze nchi 2025 ..uchaguzi ujao usiwe uchaguzi wa kuoneana huruma !!
Umekula mchana wa leo!
 
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewq kijinsia ! Leo nyimbo na ngonjera nyingi ni za kutufubaza akili tuache kutafuta namna ya kupiga hatua kisiasa tukae tuanze kuwaonea huruma! Nasisitiza 2025 hatapita mtu ati kwa sababu ni mwanamke! Tutapambana ! Nginja ngija! Majukwaani !! Wanawake wengi wakipewa madaraka lengo lao la kwanza au adui yao WA kwanza ni mwanaume!! ,wanaume wa kweli wameshaona jinsi Hali ilivyo hakuna fair Kila sehemu kwa wanaume! Mwenye macho anaona kwa sasa wanaume wengi wanaoza jela kwa makosa ya kindoa tu ! Wanaume wananyanyapaliwa hata kwenye mikopo ya mabenki na serikali ! Wanaume tuachane na huu wimbo ! Tunyanyue tai zetu juu tuongoze nchi 2025 ..uchaguzi ujao usiwe uchaguzi wa kuoneana huruma !!
Utabiri unasema ajaye ni mwanamme!

Ngoja tuone!
 
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo ya kutaka kupendelewq kijinsia ! Leo nyimbo na ngonjera nyingi ni za kutufubaza akili tuache kutafuta namna ya kupiga hatua kisiasa tukae tuanze kuwaonea huruma! Nasisitiza 2025 hatapita mtu ati kwa sababu ni mwanamke! Tutapambana ! Nginja ngija! Majukwaani !! Wanawake wengi wakipewa madaraka lengo lao la kwanza au adui yao WA kwanza ni mwanaume!! ,wanaume wa kweli wameshaona jinsi Hali ilivyo hakuna fair Kila sehemu kwa wanaume! Mwenye macho anaona kwa sasa wanaume wengi wanaoza jela kwa makosa ya kindoa tu ! Wanaume wananyanyapaliwa hata kwenye mikopo ya mabenki na serikali ! Wanaume tuachane na huu wimbo ! Tunyanyue tai zetu juu tuongoze nchi 2025 ..uchaguzi ujao usiwe uchaguzi wa kuoneana huruma !!
Kimsingi CCM wakimpitisha Mwanamke, basi wengine wote tutaelekeza nguvu zetu zote kwa Lissu au Dr Slaa
 
Duh

Kama Wanaume ndio Wanamuziki wa Jazz band, Wanamuziki wa Kizazi kipya, Wachekeshaji, Waimba Gospel, maBank teller, Wahasibu na Shughuli nyingine soft soft ulitaka Wanawake wafanye kazi gani ilhali Zao mmezichukua 🐼

Ndio wameshapindua Meza hivyo bado Ngome na Pilato 😂

Ukifika Mafinga Wachana mbao msituni ni akina mama wale Wanaume Wamejazana Stendi kupiga Debe 😀😀

Gabriel, Mikael, Rafael na Lucifer
Ni wewe kweli
 
Kimsingi CCM wakimpitisha Mwanamke, basi wengine wote tutaelekeza nguvu zetu zote kwa Lissu au Dr Slaa
Sio lazima awe lissu au dk slaa ! Nchi Ina watu ml 60 !
 
Back
Top Bottom