Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Wangesema wanaume wa jf Wana vibamia we ungetuma yako ku prove wrong?? ๐คฃEbu weka kapicha turinganishe na akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangesema wanaume wa jf Wana vibamia we ungetuma yako ku prove wrong?? ๐คฃEbu weka kapicha turinganishe na akili
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ณngoja nikafanye surgery.... Mko kutunyoosha wanawake safari hii....tunawazaa ila mmejaa jeuri nyie watoto wa sikuhizi๐
Ndio, ebu anzisha uzi uone ๐Wangesema wanaume wa jf Wana vibamia we ungetuma yako ku prove wrong?? ๐คฃ
Kwani mada hapa nini, kuna vitu siwezi taja kama vilivyo ujue๐Manini ๐
Achana navyo mkuu ๐คฃ๐คฃ๐คฃKwani mada hapa nini, kuna vitu siwezi taja kama vilivyo ujue๐
Tupia tu hapa hapa naona mada haijaenda mbali sana ๐คฃ๐คฃNdio, ebu anzisha uzi uone ๐
Nitakutupia tu huko ndani ๐Tupia tu hapa hapa naona mada haijaenda mbali sana ๐คฃ๐คฃ
Matatizo yao yanaanzia tangu udogoni. Ilivyo ni kwamba wanaume wengi wa Bongo hupenda kuwa-kuwatania, kuwa-approach na kuwapa kila aina ya sifa wanawake wa aina hiyo. Hii inawafanya waone miili yao ni kama kitegauchumi kitakachowakomboa kimaisha. Kwa kifupi wanabweteka na kuacha kujitahidi kufanya mambo mengine ya maana na muida mwingi wanautumia kujiweka katika hali ya kuvutia. Hili lipo hata kwa wanawake wengi warembo waliozaliwa maeneo ya uswazi. Ndiyo maana unambiwa ukitaka kuishi maisha ya ndoa mazuri kwa Bongo usijedanganyika ukaoa pisi kali.Ndugu wana Jf sipo hapa kukashifu wanawake wenye mashepu yao na walio jaliwa vichuguu ila nipo hapa kujua ni kwanini wanawake waliofungasha akili zao hazina akili.
Naya sema haya baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kirafiki na wanawake wa aina hii, wakuu wanawake wa hivi kabisa ukiwa nao unaona hapa hamna kitu ,
je ni nini kinawapelekea kuwa zero brain wa ndugu ili hali watoto wamejaliwa mafurushi ya asili
UshindweeeNitakutupia tu huko ndani ๐
Sie wapenzi watazamaji..Achana navyo mkuu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
usiikimbie lakini ๐Ushindweee
Muendelee kula kwa machoSie wapenzi watazamaji..
Nakukimbia sitaki kuona vya wazee mieusiikimbie lakini ๐
Sili kwa macho, nakula live kwa kushika na kupapasa pamoja na kuweka.Muendelee kula kwa macho
Kuna kipicha kinamwonyesha raisi mstaafu Obama, anaangalia mzigo unamoitia mbele yakeHii kupenda matako makubwa ni vijana wapuzi wa ki Tanzania!!
Japo kuwa pia mimi ni mtanzania nafurahia sana tako kichuguu[emoji38]
Wazee ndio wanajua kulea watoto wenye mizigo, hawa vijana bado wana msongo wa mawazoNakukimbia sitaki kuona vya wazee mie
Kausha mkuu!๐Kumbe neema zipo๐