Wanawake walioshika dini haswa walokole wengi wao sio wife material wa kuoa

Wanawake walioshika dini haswa walokole wengi wao sio wife material wa kuoa

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana utafiti umefanywa ya kwamba unazungumzia wanawake wa kilokole au walokole hawafai kabisa kuolewa na wengi wao sio wife material kiasi cha kwamba utadumu nae katika ndoa.

Watafiti wengi wamegundua wanawake wa aina hii wengi wao ni waongo lakini pia hawashauliki wanajiona wako sahihi kila wanachofanya na wengi wana misimamo mikali kiasi kinachowafanya wanaume wengi kuwapiga chini.

Tabia za wadada kuwawekea masharti wanaume zao in terms of tendo la ndoa,kulea familia na kukaa pamoja na familia yaani unamkuta mdada yupo bizee na dini kuliko kuijari familia yake jambo ambalo wanaume wengi hawalikubali.

Lakini pia imegundulika wanawake wengi walokole wana asili flani ya ujeuri,ukorofi na kudhalau mwanaume wake
 
Wanakuja

Money penny mshike shike tu atakapokuja hapa sijui utatokea wapi
Jiandae kabisa
 
Utafiti huu uko sahihi kabisa ila ni kwa wale Walokole kweli kweli sio hawa walokole wezangu na mimi
 
Watu tunato tofautiana sana mimi demu hata awe na sura mbaya papuchi akiwa ananipa bila pingamizi moyoni mwangu atakuwa na thamani kubwa, kumuoa pia inawezekana ila awe na sura nzuri papuchi napewa kwa mafungu kwangu nitaka taka,papuchi napenda kuliko hata chakula
 
Watu tunato tofautiana sana mimi demu hata awe na sura mbaya papuchi akiwa ananipa bila pingamizi moyoni mwangu atakuwa na thamani kubwa, kumuoa pia inawezekana ila awe na sura nzuri papuchi napewa kwa mafungu kwangu nitaka taka,papuchi napenda kuliko hata chakula
Kwa mfano umekutana binti kukupa papuchi hadi ndoa utamuelewa na mkiwa ndani ya ndoa papuchi mara moja per month utawezaaaaaa.
 
Sijawahi kuona thread ya kuwasifia wanawake wa kilokole.
Sio lazima uoe mlokole kwa hio hakuna maana kumsema vibaya as long as unaona hamuwezi kuendana.

Nao ni watu kama watu wengine, wengine ni wazuri sana, wengine sio.
 
Kazi kweli kweli na wengine wa walokole wa KE wanakuwa desparate na kutopata ndoa so unakutana naye kanisani hana mbele wa nyuma kikubwa kaenda ili apate mume
 
Back
Top Bottom